CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
Watoto wasafi moyoni, ni nyota za macho za wazaziNimekumiss Evelyn Salt hebu pita huku...
Kila kizazi na lwake. Na kila kizazi kilichotangulia kinalalamikia kizazi kipya. Hata hawa wacheza video games nao wakati wao ukifika wataanza kulalamikia kizazi kipya kuwa kiko legelege. Maisha yanaendelea...Nimeamua kupitia tu hizi nyimbo nimejikuta narudi miaka ya 80.Aisee utoto wetu ulikuwa mzuri sana,nashangaa siku hizi hata ile michezo ya zamani ya kitoto imepotea kabisa.Watoto wetu wanacheza video games tu.
Then hapo tulikuwa tukiitikia aaaaaaaa kwa sauti kubwaHii ndio a a a a, ina mkia mrefu a a a a.... Hii ndio e e e e e iko kama kata e e e e.... hii ndio iiiiiiiI ina kofia kichwani iiiiiiii.... hiii ndio o o o o iko kama yai o o o o.... hii ndio u u u u u u iko kama kikombe u.u u.u u
Hahahahaaa yaelekea ulikuwa hupendi sana shule...!!!!Saa imefika twendeni nyumbani,mama amepika wali na Nyama
nani mganga wa TAUSI Kalmanzira, ra lala salama, ma mama mzazi zi zizi, la ng'ombe, mbe mbele ya nyumba, mba mbali na wewe, we wembe wa kucha,cha chakula kitamu, mu Mungu mkubwa, bwa bwawa la samaki, ki king majuto, to tone la maji, ji jitu la kale, le lenye madevu, vu vumbua dhahabu, bu bubu asemi, mi mimi ndogo, go gogo la mti, ti Tina na Mjuba, ba baridi kali, li lindi na vita, ta TAUSI NDEGE WANGU NDEGE WANGU WA FAHAR NDEGE UMEKWENDA MBAL...........