Hii ndio a a a a, ina mkia mrefu a a a a.... Hii ndio e e e e e iko kama kata e e e e.... hii ndio iiiiiiiI ina kofia kichwani iiiiiiii.... hiii ndio o o o o iko kama yai o o o o.... hii ndio u u u u u u iko kama kikombe u.u u.u u
Ukuti, ukuti, wa nazi, wa nazi, mwenzetu, mwenzetu, kagongwa, kagongwa, na nini na nini na gari na gari, tumpeleke mnazi mmoja asije kusema kwa mama yake pyeeee pye pye pyeee, mambo badoooo, pyeee pye pye pyeeee
Nipeleke wapi kwa bakheresa
Kwa bakheresa kuna nn
Mwajuma katobolewa
Katobolewa na nani
Mangi muuza duka
Daa Mwajuma
Shilingi imemponza
Watu kumi na mbili
Midizini wamem..............
Bibi kilemba umelala wapi
Nimelala kwa selemani mpasua mbao
Umekula ninii?
Nimekula kitamu tamu kama sukali
Geuka nyuma naona hatari
Milima ya kwetu ina majabari...