Tuiombee Kongo.

Tuiombee Kongo.

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Pray for Congo DR
20240210_125443.jpg
 
Wanajeshi wetu tayari wapo huko.

Mungu awajalie, tupate solution ya kudumu.
 
Black Live matter wanasubiri Israel ibomoe misikiti na hospital inayotimika kama hideout ya Hamas ili waingie Barabarani.
 
Meza Ya Duara Kwa Maridhiano Ndiyo Ufumbuzi
 
Wanajeshi wetu tayari wapo huko.

Mungu awajalie, tupate solution ya kudumu.
Wanajeshi wetu hata wangelikuwa huko bila mandate ya vita kupewa na Umoja wa mataifa hawawezi kusaidia kitu.

Mikataba ya kiulizi ya Umoja wa mataifa ina mizengwe sana.

Ukisimuliwa masharti wanayopewa walinzi hao wa amani utabakia kinywa wazi na kukosa maana ya nia halisi ya kupelekwa kwa wanajeshi hao.

Ndiyo maana raia wa Kongo wamepaza sauti zao kulaani uwepo wa walinzi wa kimataifa ambao hawajawasaidia lolote na adha za hayo machafuko ya umwagikaji damu yaliyochukua miaka nenda rudi.
 
Wanajeshi wetu hata wangelikuwa huko bila mandate ya vita kupewa na Umoja wa mataifa hawawezi kusaidia kitu.

Mikataba ya kiulizi ya Umoja wa mataifa inamizengwe sana.

Ukisimuliwa masharti wanayopewa walinzi hao wa amani utabakia kinywa wazi na kukosa maana ya nia halisi ya kupelekwa kwa wanajeshi hao.

Ndiyo maana raia wa Kongo wamepaza sauti zao kulaani uwepo wa walinzi wa kimataifa ambao hawajawasaidia lolote na adha za hayo machafuko ya umwagikaji damu yaliyochukua miaka nenda rudi.
Tanzania Huwa haifungwi mikono kama wengine ndomana kg Huwa hawataki.

Tanzania ni polisi wa Africa.
 
Back
Top Bottom