Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Inajengwa wapi?Hapa tunasema kuwa mama anaupiga mwingi. Kwa kimombo ni diagonal balls.
Sasa kampuni ya Elsewedy Electrical itakuja kuwekeza nchini na kujenga Industrial park kubwa yenye ukubwa wa Sq metre milioni mbili.
Kwa uwekezaji huu ajira na ujuzi utalifaidisha taifa letu.
Ama kwa hakika, mama anaupiga mwingi.
Nitakunya kuzunguka nchi nzima.Hapa tunasema kuwa mama anaupiga mwingi. Kwa kimombo ni diagonal balls.
Sasa kampuni ya Elsewedy Electrical itakuja kuwekeza nchini na kujenga Industrial park kubwa yenye ukubwa wa Sq metre milioni mbili.
Kwa uwekezaji huu ajira na ujuzi utalifaidisha taifa letu.
Ama kwa hakika, mama anaupiga mwingi.
Hazipo stable kivipi?!Mwekezaji gani anakuja kwenye nchi ambayo sera zake za uwekezaji haziko stable?
Utatita kuzunguka nchi nzima, me nasubiri kuona kimba kwenye mipaka yenye water bodies (sijui utatita mara ngapi hahahaha...)Nitakunya kuzunguka nchi nzima.
Mwekezaji gani anakuja kwenye nchi ambayo sera zake za uwekezaji haziko stable?
KigamboniInajengwa wapi?
Kunya ndani kwako chumbani sijui sebuleni yaaani maana utatuletea magonjwa ya milipuko.Nitakunya kuzunguka nchi nzima.
Mwekezaji gani anakuja kwenye nchi ambayo sera zake za uwekezaji haziko stable?
Nchi ambayo viongozi wake hawajielewi wanachofanya na wanachotaka?
Nchi yenye magaidi ni salama kwa mwekezaji gani?
Nchi inayopora mitaji ya wawekezaji, kufunga account zao, kuwafungulia makesi ya uongo nk, inamvutia Nani?
Ndio mkomo uzombieKunya ndani kwako chumbani sijui sebuleni yaaani maana utatuletea magonjwa ya milipuko.
Kimba la mtu mzima utunusishe nchi nzima hatupo tayari.Ndio mkomo uzombie
Ujinga tu industrial park ya nani? Ya nini?Hapa tunasema kuwa mama anaupiga mwingi. Kwa kimombo ni diagonal balls.
Sasa kampuni ya Elsewedy Electrical itakuja kuwekeza nchini na kujenga Industrial park kubwa yenye ukubwa wa Sq metre milioni mbili.
Kwa uwekezaji huu ajira na ujuzi utalifaidisha taifa letu.
Ama kwa hakika, mama anaupiga mwingi.
Sasa wewe kwa kushinda humu unadhani utaibadiri jamii yako iachane na mlengo wa kulia wakufuate wakati idadi kubwa ya wahanga hawako humu?Nitakunya kuzunguka nchi nzima.
Mwekezaji gani anakuja kwenye nchi ambayo sera zake za uwekezaji haziko stable?
Nchi ambayo viongozi wake hawajielewi wanachofanya na wanachotaka?
Nchi yenye magaidi ni salama kwa mwekezaji gani?
Nchi inayopora mitaji ya wawekezaji, kufunga account zao, kuwafungulia makesi ya uongo nk, inamvutia Nani?
MATATIZO ya watoto kukosa matundu ya vyoo hayawaathiri wasio ipenda CCM peke yao, hata Wana CCM mnalia, ila nyie ni mburumundu ambao mnamshabikia anayewaliza, kisa tu uchaguzi uliopita aliwapeni wali maharagwe ili mumpe uraisi.Sasa wewe kwa kushinda humu unadhani utaibadiri jamii yako iachane na mlengo wa kulia wakufuate wakati idadi kubwa ya wahanga hawako humu?
Badilika pita kila nyumba,mtaa,kijiji,kata,tarafa,wilaya na mkoa uwahamasishe ndiyonutaeleweka sivyo endelea na mambo yako hatuko duniani kukupeni mkate wenu wa kila siku kupitia hisia zenu au matatizo yetu.
Upoooooo!!