Tuisila Kisinda arudisha mpira kwa Yanga

Mimi namuonea huruma Zimbwe... Alishikuru sana baada ya kutoka Huyu jamaa..

So far Kuna ,,Aziz K Mzee wa matobo na huyu Kisinda Mzee wa pumzi ya moto
 
Mimi namuonea huruma Zimbwe... Alishikuru sana baada ya kutoka Huyu jamaa..

So far Kuna ,,Aziz K Mzee wa matobo na huyu Kisinda Mzee wa pumzi ya moto
Na vile anavyopenda kupanda kwenda kushambulia! Aisee atawasababishia mabeki wake wa kati na viungo wakabaji kadi, mpaka basi.
 
Dah makolo wanatia huruma
Nilitegemea utasema vilabu vya CAF vinatia huruma. Mawazo ya wanayanga ni Simba, wenzao Simba wanawaza Mamelodi, Al Ahly, Zamalek, Wydad na the like
 
Hawa utopolo wanavyotutendea katika usajili siyo haki kabisa wanatuvunjia heshima yetu , tulizoea kuheshimiwa ndani ya miaka minne sasa wanataka kutudhalilisha katika soka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…