Tuitazame kauli ya Ally Kamwe kwa upande wa pili wa Shilingi

Tuitazame kauli ya Ally Kamwe kwa upande wa pili wa Shilingi

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Ni kijana tu kaghafilika ndiyo maana ameomba radhi. Yes alicho kifanya Ally Kamwe huenda kimeleta ukakasi lakini hebu tulitazame hili kwa jicho la pili.

Wakati Mwingine Nchi hii usipojitoa ufahamu wanaweza kukuzoea wakakuchukuliwa poa kwahiyo wakati mwingine ni kuishi nao wanavyotaka wao.

Juzi na jana kuna wapuuzi wachache walikuwa wameanza kuitoa Yanga mchezoni kwa sakataka la FEISAL. Semaji lile la MAKOLO aliongoza kampeni ya kumchangia Fei ili apate pesa ya kwenda CAS. Lakini baada Ally Kamwe kutoa kauli ya kati ya ANDAZI na MGUNDA utachangua nini? Ghafla upepo umehama kwa sasa wachambuzi wa mchongo, kikundi cha mfalme ZUMARADI wamehamia kwa kumsakama Ally Kamwe. Yanga iko salama na hicho ndicho kinacho wakati mwingine.

Leo Yanga anaingia kazini akiwa hawazi bakuli la mla sukari wala nini? Ndugu Semaji la mabingwa amesha kata mzizi wa fitna.

Twendeni tukaishangilie Yanga, tuweke historia.
 
Mgunda anashangaa kwanini hamjashinda ilhali sharti la kushinda mlishalitimiza (ili Yanga ishinde inatakiwa semaji la Uto limtukane Mgunda, baada ya hapo Mwarabu lazima atakufa 3-0)?
 
Hayaa sasa njoo usemee tenaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmelowaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ni kijana tu kaghafilika ndiyo maana ameomba radhi. Yes alicho kifanya Ally Kamwe huenda kimeleta ukakasi lakini hebu tulitazame hili kwa jicho la pili.

Wakati Mwingine Nchi hii usipojitoa ufahamu wanaweza kukuzoea wakakuchukuliwa poa kwahiyo wakati mwingine ni kuishi nao wanavyotaka wao.

Juzi na jana kuna wapuuzi wachache walikuwa wameanza kuitoa Yanga mchezoni kwa sakataka la FEISAL. Semaji lile la MAKOLO aliongoza kampeni ya kumchangia Fei ili apate pesa ya kwenda CAS. Lakini baada Ally Kamwe kutoa kauli ya kati ya ANDAZI na MGUNDA utachangua nini? Ghafla upepo umehama kwa sasa wachambuzi wa mchongo, kikundi cha mfalme ZUMARADI wamehamia kwa kumsakama Ally Kamwe. Yanga iko salama na hicho ndicho kinacho wakati mwingine.

Leo Yanga anaingia kazini akiwa hawazi bakuli la mla sukari wala nini? Ndugu Semaji la mabingwa amesha kata mzizi wa fitna.

Twendeni tukaishangilie Yanga, tuweke historia.
Ujinga mtupu sasa neno Yes linafata nini hapo?! Ila mmechakaa hasa.
 
Utopolo wenye akili ni wawili tu..utabaki Kuwa ivyo
Afu Bongo Mtu ufe Maskini kabisa kwa akili hizi si hata ukoo wenu utakucheka?

Kesho nikiamka asubuhi nikasema umbumbumbuni "Makolokoloni" mwenye akili ni mimi tu, na nitaaminiwa na Wapumbavu wengi.

Manabii feki wanatajirika kizembe sana [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Haya lopokaji lenu limewarudisha mchezoni, now mtupe matako...! alaah! nmekosea, mtupe matokeo, mmekandwa mandazi ama mmebabuliwa?
 
Back
Top Bottom