Manala An Academician
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 119
- 57
Katika kukabiliana na changamoto ya ufaulu wa masomo ya sayansi nchini, Excellence Tuition Centre inakuletea huduma bora kabsa ya masomo ya ziada kwa wanafunzi wa sekondari kuanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita
Masomo
Kwasasa tutafundisha masomo ya Physics, Chemistry, Biology na Mathematics ili kuwasaidia wanafunzi wote wenye uhitaji wakutimiza ndoto zao kupitia masomo haya ya sayansi kwakupewa ujuzi na mbinu mbalimbali zitakazo wapa umahiri katika masomo hayo
Mda wa masomo
Vipindi ni kila siku kuanzia saa 2:00asubuhi nakuendelea
Walimu
Kituo kinawalimu wazoefu na mahiri sana katika masomo husika walio tayari kumsaidia mwanafunzi kufikia ndoto zake
Gharama
O-level
Mwanafunzi atachangia Tshs.60,000/- kwa mwezi kwa Physics, Chemistry,Biology na Mathematics
A-Level
Gharama zitakuwa ni kwa topic na bei itatofautiana kutegemea na aina ya topic ila itaanzia Tshs. 15,000/- mpaka Tshs. 30000/- kutegemea na ukubwa wa topic
Mahali
Kituo kipo mabibo mkabala kabsa na lango kuu la NIT
NB: Kutakuwa na mitihani ya kuwajengea uwezo wanafunzi wote katika shule zote ndani ya Dar Es Salaam (fitness test) katika kila siku ya jumamosi au jumapili
Walengwa
Kituo kinalenga kuwasaidia wanafunzi wanaojiandaa kuingia sekondari, wanafunzi wanaosoma sayansi, wanafunzi wanaosoma miaka miwili (QT), watahiniwa binafsi (private candidates) pamoja na wanaorudia mitihani (Re-sitters)
Mawasiliano
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0743156408 au 0676060228 au 0715425429 au 0757930779
Nyote mnakaribishwa
Masomo
Kwasasa tutafundisha masomo ya Physics, Chemistry, Biology na Mathematics ili kuwasaidia wanafunzi wote wenye uhitaji wakutimiza ndoto zao kupitia masomo haya ya sayansi kwakupewa ujuzi na mbinu mbalimbali zitakazo wapa umahiri katika masomo hayo
Mda wa masomo
Vipindi ni kila siku kuanzia saa 2:00asubuhi nakuendelea
Walimu
Kituo kinawalimu wazoefu na mahiri sana katika masomo husika walio tayari kumsaidia mwanafunzi kufikia ndoto zake
Gharama
O-level
Mwanafunzi atachangia Tshs.60,000/- kwa mwezi kwa Physics, Chemistry,Biology na Mathematics
A-Level
Gharama zitakuwa ni kwa topic na bei itatofautiana kutegemea na aina ya topic ila itaanzia Tshs. 15,000/- mpaka Tshs. 30000/- kutegemea na ukubwa wa topic
Mahali
Kituo kipo mabibo mkabala kabsa na lango kuu la NIT
NB: Kutakuwa na mitihani ya kuwajengea uwezo wanafunzi wote katika shule zote ndani ya Dar Es Salaam (fitness test) katika kila siku ya jumamosi au jumapili
Walengwa
Kituo kinalenga kuwasaidia wanafunzi wanaojiandaa kuingia sekondari, wanafunzi wanaosoma sayansi, wanafunzi wanaosoma miaka miwili (QT), watahiniwa binafsi (private candidates) pamoja na wanaorudia mitihani (Re-sitters)
Mawasiliano
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0743156408 au 0676060228 au 0715425429 au 0757930779
Nyote mnakaribishwa