Elections 2010 Tuitishe Uchaguzi Mkuu mapema?

Mwiba mchungu kokote uingiapo.
Lakini jichoni ni zaidi.
 
MMkjj,

Hapa sikuelewi kabisa,

Tuitishe uchaguzi mapema na kuwapa mandate ya nguvu chama tawala? unajuwa upinzani bado wamelala wanavizia 2010?

Unayo habari kwamba kundi pekee waliojiandaa mapema ni la mafisadi ambao wameweka mtandao karibu kila jimbo kuwaangusha wabunge wazalendo?

Au tuseme unatikisa kiberiti kuona kama kina njiti? Wengine tutafikiria umebadili msimamo kwani humuhumu JF tumeshawapoteza wapiganaji kadhaa.

I beg to differ,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…