Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,176
Jamani mimi nina wazo.
Mimi ni mmoja kati ya mamilioni ya Watanzania wanaotaka mabadiliko.
Sikilizeni. Siku zimebaki 27 tu. Hatujachelewa.
Ninaomba tuitumie stendi ya Ubungo na stesheni za treni kupigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Kikwete.
How?
Kwa wale wa Dar Es Salaam, kama una ndugu yako anasafiri kwa basi au treni kwenda mikoani. Mpe vipeperushi vyenye ujumbe wa kutangaza mabadiliko. Kwa nini Kikwete hafai tena. Kwa nini Tumchague Slaa (PhD)? Akifika kijijini aende tu sehemu ambapo raia hukusanyika kwa wingi kama klabu za pombe akavimwage. Watu wa vijijini wasome waujue ukweli.
Tunataka Dr. Slaa aingie Ikulu ya Tanzania Oktoba 2010
Tatizo liko kijijini. Mijini tatizo labda liko Lindi, Tanga na Mikindani.
MwanaJF yeyote mwenye kuweza ku-draft huo waraka auweke jamvini. Tutaunakili na kuuchapa.
Nawasilisha
Mimi ni mmoja kati ya mamilioni ya Watanzania wanaotaka mabadiliko.
Sikilizeni. Siku zimebaki 27 tu. Hatujachelewa.
Ninaomba tuitumie stendi ya Ubungo na stesheni za treni kupigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la Kikwete.
How?
Kwa wale wa Dar Es Salaam, kama una ndugu yako anasafiri kwa basi au treni kwenda mikoani. Mpe vipeperushi vyenye ujumbe wa kutangaza mabadiliko. Kwa nini Kikwete hafai tena. Kwa nini Tumchague Slaa (PhD)? Akifika kijijini aende tu sehemu ambapo raia hukusanyika kwa wingi kama klabu za pombe akavimwage. Watu wa vijijini wasome waujue ukweli.
Tunataka Dr. Slaa aingie Ikulu ya Tanzania Oktoba 2010
Tatizo liko kijijini. Mijini tatizo labda liko Lindi, Tanga na Mikindani.
MwanaJF yeyote mwenye kuweza ku-draft huo waraka auweke jamvini. Tutaunakili na kuuchapa.
Nawasilisha