Background Check
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 341
- 498
Kwa mawazo yangu ya kawaida bila kutumia akili za shuleni kwetu kuna vitu havipo sawa kwenye chi hii.
Mfano: Unaenda RITA unafanya maombi ya cheti cha kuzaliwa cha mtoto/watoto etc.. unapewa control number unalipia baada ya muda unafata cheti chako kipo tayari.
Cheti kipo tayari kwa matumizi, unaenda kwenye ofisi nyingine ya serikali mfano NHIF kufanya utaratibu upate bima, cha ajabu kabisa unarudishwa RITA (ulipotoka). Unaambiwa uende ukaverify cheti hicho akigonge mhuri huyo RITA.
Unafika RITA kuverfy hicho cheti ambacho ametoka kukupa huyohuyo RITA, Ajabu RITA huyu anakwambia tena umpe 6000 ili athibitishe hicho cheti.
Kama kilitakiwa kiwe na mhuri, kwa nini RITA asikigonge mhri kabisa?
Serikali na watendaji wake kila mmoja kwa nafasi yake hili halipo sawa hata kidogo.
Waziri Dkt. Gwajima D
Na mawaziri wengine wenye dhamana.
Msaidieni Rais kwenye mambo kama haya.
Ondoa Ukiritimba.
Mfano: Unaenda RITA unafanya maombi ya cheti cha kuzaliwa cha mtoto/watoto etc.. unapewa control number unalipia baada ya muda unafata cheti chako kipo tayari.
Cheti kipo tayari kwa matumizi, unaenda kwenye ofisi nyingine ya serikali mfano NHIF kufanya utaratibu upate bima, cha ajabu kabisa unarudishwa RITA (ulipotoka). Unaambiwa uende ukaverify cheti hicho akigonge mhuri huyo RITA.
Unafika RITA kuverfy hicho cheti ambacho ametoka kukupa huyohuyo RITA, Ajabu RITA huyu anakwambia tena umpe 6000 ili athibitishe hicho cheti.
Kama kilitakiwa kiwe na mhuri, kwa nini RITA asikigonge mhri kabisa?
Serikali na watendaji wake kila mmoja kwa nafasi yake hili halipo sawa hata kidogo.
Waziri Dkt. Gwajima D
Na mawaziri wengine wenye dhamana.
Msaidieni Rais kwenye mambo kama haya.
Ondoa Ukiritimba.