Tuiunge mkono Simba, inaweza kututoa kimasomaso Watanzania

Joined
Jul 8, 2013
Posts
53
Reaction score
75
Klabu ya Simba Jioni ya leo inashuka uwanja wa Taifa Mjini Harare kuchuana na FC Platnum ya Zimbabwe katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Afrika.

Sema neno lolote kuwatakia kheri mabingwa Hawa wa soka nchini Tanzania.
 
Klabu ya Simba Jioni ya leo inashuka uwanja wa Taifa Mjini Harare kuchuana na FC Platnum ya Zimbabwe katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Afrika.

Sema neno lolote kuwatakia kheri mabingwa Hawa wa soka nchini Tanzania.
Ndio timu pekee ya sasa unayoweza kuiombea ama kuichangia na USIJUTE...Huko kwingine kilichobaki ni kulangua madela na vijora

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Klabu ya Simba Jioni ya leo inashuka uwanja wa Taifa Mjini Harare kuchuana na FC Platnum ya Zimbabwe katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Afrika.

Sema neno lolote kuwatakia kheri mabingwa Hawa wa soka nchini Tanzania.
Platinum piga hao mikia, wana midomo sana!
 
Mtaani kwetu karibu wavuta ganja wote wako mikia FC.
Hii[emoji28][emoji28]
Tuombe radhi wanamsimbazi,ni uzushi kama Uto mlivyowazushi siku zote.
Kwanza tia neno lolote la kuitakia Simba ushindi,alafu mambo mengine yataendelea.
 
Klabu ya Simba Jioni ya leo inashuka uwanja wa Taifa Mjini Harare kuchuana na FC Platnum ya Zimbabwe katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Afrika.

Sema neno lolote kuwatakia kheri mabingwa Hawa wa soka nchini Tanzania.
Simba ya Mo ina laana na leo wanafungwa goli zaidi ya tatu...

Mpaka wamrudishie mzee Kilomoni timu yake na wanachama wenzake..

Go go go Platnum fc
 
Tokea lini tuwaunge mkono nyie mbumbumbu majeuri
 
Klabu ya Simba Jioni ya leo inashuka uwanja wa Taifa Mjini Harare kuchuana na FC Platnum ya Zimbabwe katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa Ligi ya mabingwa Afrika.

Sema neno lolote kuwatakia kheri mabingwa Hawa wa soka nchini Tanzania.
Mnyama Simba, uko mbugani kwenye vita....ushindi kwako ni dhahiri tu....Twajuwa utashinda 3 - 0 leo hii ukiwa ugenini mbugani Zimbabwe kisha utakuja kumalizia kiporo hapa nyumbani Serengeti. Aungurumapo Simba, Yanga hujinyea bila break kama shoga vileee!
 
Mtaani kwetu karibu wavuta ganja wote wako mikia FC.
Kumbe nawe ni mvuta ganja, utapona tu usihofu. Wavuta ganja wote ni Yanga maana wamezoea kucheza na viluilui pale Jangwani, siku wakisikia Simba inacheza mechi ya kimataifa wanasahau kuwa wao ni chama tawala cha utopolo/vyura na kujifanya watu wa matawi wanasupport Simba ili waonekane wajanja kwa masaa tu na wataoga hiyo siku. Mechi ikiisha wanarudi Jangwani kucheza na vyura madimbwini huku wakibwia unga.
 
Ndio timu pekee ya sasa unayoweza kuiombea ama kuichangia na USIJUTE...Huko kwingine kilichobaki ni kulangua madela na vijora

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Hujatuletea ulichoona usiku wa leo kuhusu simba na Fc platinum maana hakuna linalotokea ktk macho lisianzie rohoni chonde mkuu tujuze mimi nimelala sijaona kitu mkuu.
 
Game saa 5pm sio? Simba anampiga mtu leo, uzuri kule away walipigwa kimoja tu na bado simba walikosa nafasi nyingi za ushambuliaji, leo simba wanalipa kisasa mara mbili

Utabili ni simba anashinda 3 bila
 
Game saa 5pm sio? Simba anampiga mtu leo, uzuri kule away walipigwa kimoja tu na bado simba walikosa nafasi nyingi za ushambuliaji, leo simba wanalipa kisasa mara mbili

Utabili ni simba anashinda 3 bila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…