Tujadili katiba Mpya pitia hapa usiache.

Tujadili katiba Mpya pitia hapa usiache.

Ikimbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
301
Reaction score
32
Tarehe 30/4/2015 ni siku maalum ya kuipigia kula ya NDIYO/HAPANA katiba pendekezwa! Je mchakato wa kuandikisha vitambulisho utakuwa tayari Nchi nzima? Kama hakuna, Je wale wasiokuwa na vitambulisho vya kupigia kura maana hawakuwa wamefikisha miaka 18 wakati huo sasa wanazaidi ya miaka 18 haki yao ITAPOTEA? Na kama itapotea si nimpango wa serikali. Mwisho piga kura yako hapa NDIYO/HAPANA
 
tarehe 30/4/2015 ni siku maalum ya kuipigia kula ya ndiyo/hapana katiba pendekezwa! Je mchakato wa kuandikisha vitambulisho utakuwa tayari nchi nzima? Kama hakuna, je wale wasiokuwa na vitambulisho vya kupigia kura maana hawakuwa wamefikisha miaka 18 wakati huo sasa wanazaidi ya miaka 18 haki yao itapotea? Na kama itapotea si nimpango wa serikali. Mwisho piga kura yako hapa ndiyo/hapana

tuvute subira mambo yatakuwa mazuri tuu
 
Kama utaipigia ndiyo utamfanya hadi mwanao alie tumboni mwako.Ni HAPANA!Maoni ya wananchi yametupwa.
 
tarehe 30/4/2015 ni siku maalum ya kuipigia kula ya ndiyo/hapana katiba pendekezwa! Je mchakato wa kuandikisha vitambulisho utakuwa tayari nchi nzima? Kama hakuna, je wale wasiokuwa na vitambulisho vya kupigia kura maana hawakuwa wamefikisha miaka 18 wakati huo sasa wanazaidi ya miaka 18 haki yao itapotea? Na kama itapotea si nimpango wa serikali. Mwisho piga kura yako hapa ndiyo/hapana


wewe ni mzembe na inaonekana hufuatilii taarifa za nchi yako,swali lako limeshafafanuliwa mara kibao na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kama hujanielewa nenda tume utapata majibu au tembelea wavuti yao uache kuchepuka humu.
 
watanzania ndio walivo, leo hii kuna watu wataipgia katba ya CHENGE kura ya ndiyo na kusaliti mawazo yao yaliyoksanywa na mzee WARIOBA! NB-TANZANIA INGEKUWA BUS NINGESHUKA NIPANDE JINGINE.
 
watanzania ndio walivo, leo hii kuna watu wataipgia katba ya CHENGE kura ya ndiyo na kusaliti mawazo yao yaliyoksanywa na mzee WARIOBA! NB-TANZANIA INGEKUWA BUS NINGESHUKA NIPANDE JINGINE.
Assume ndo basi, shuka ukapande la Libya au Iraq, Chenge hana katiba na hata huyo babu yako mpendanmadaraka hana Katiba bali alipewa nafasi kuandika mapendekezo na sio Katiba.
 
Tarehe 30/4/2015 ni siku maalum ya kuipigia kula ya NDIYO/HAPANA katiba pendekezwa! Je mchakato wa kuandikisha vitambulisho utakuwa tayari Nchi nzima? Kama hakuna, Je wale wasiokuwa na vitambulisho vya kupigia kura maana hawakuwa wamefikisha miaka 18 wakati huo sasa wanazaidi ya miaka 18 haki yao ITAPOTEA? Na kama itapotea si nimpango wa serikali. Mwisho piga kura yako hapa NDIYO/HAPANA

Tupo na Humphrey Polepole tunafanya hivyo(tunajadili), maeneo katika chuo cha Saut_mtwara. But ni mjadala wa kitaaluma.
 
Katiba Inayopendekezwa kura ya NDIYO haiepukiki. Ni kama kuzuia mafuriko kwa mikono. NDIYOOO- KATIBA INAYOPENDEKEZWA.
 
Ushapotea na hana madhara yoyote huyo sawa na mbwa koko

Nisawa kapotea kwenu kafikia kwetu, hakika jiwe mlilolikataa waashi sasa limekuwa jiwe la pembeni, Humphrey Polepole ni moto wa kuotea mbali. Mungu ambariki sana na sana!!
 
Back
Top Bottom