Tujadili katiba Mpya pitia hapa usiache.



Ikimbu wasiwasi wako nini?usijifanye unajua kuliko TUme ya UChaguzi na Mwenyekiti wa Tume ameshatamka mara kibao kkuhusiana na suala hilo kilichopo sasa ni kwenda kujiandikisha utakaposikia zamu ya eneo lako imefika, ondoa shaka kura utapiga na naamini utaungana na mamilioni ya watanzaniwenye imani na Katiba inayopendekezwa!!!
 


Ikimbu wasiwasi wako nini?usijifanye unajua kuliko TUme ya UChaguzi na Mwenyekiti wa Tume ameshatamka mara kibao kkuhusiana na suala hilo kilichopo sasa ni kwenda kujiandikisha utakaposikia zamu ya eneo lako imefika, ondoa shaka kura utapiga na naamini utaungana na mamilioni ya watanzania wenyewe imani na Katiba inayopendekezwa!!!

Mungu ibariki Tanzania!
 

USIPOTEZE MUDA WAKO,WALA USIKUBARI KUDANGANYWA AMUA SAWASAWA SOMA KATIBA INAYOPENDEKEZWA AFU SIKU IKIFIKA KAIPIGIE KURA Ya KUIKUBALI HA HA HA HA ACHA KUSUMBUA WATU HUMU.
 
USIPOTEZE MUDA WAKO,WALA USIKUBARI KUDANGANYWA AMUA SAWASAWA SOMA KATIBA INAYOPENDEKEZWA AFU SIKU IKIFIKA KAIPIGIE KURA Ya KUIKUBALI HA HA HA HA ACHA KUSUMBUA WATU HUMU.

Jambo la msingi watu waisome na kuielewa na muda ukifika wafanya maamuzi sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…