Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

Tujadili kuhusu online EFD (VFD)

Esokoni

Senior Member
Joined
Aug 1, 2018
Posts
100
Reaction score
122
VFD ni mfumo au App ambayo inakuwezesha kutoa risiti za EFD kwa kutumia simu yako ya mkononi system hii inakuwezesha kutoa risiti ya softcopy na Hardcopy, kwa Hardcopy unatumia mashine ndogo Thermal printer ambayo unaiunganisha na simu kwa kutumia bluetooth na USB kwenye PC.

Sasa kila kitu uwa kina pande mbili upande wa uzuri na upande wa ubaya, leo nataka tupate uzoefu kutoka kwa watumiaji, Kuna wale ambao tayari wanatumia system hii tunaomba experience yako lakini pia ambao bado hawajaanza kutumia tupe mawazo yako juu ya system hii ukilinganisha na EFD ya zamani zile za kawaida ukizingatia GHARAMA, UFANISI WA UTENDAJI KAZI nk..

Mimi nitakuwepo hapa kujibu maswali na hoja zote maana mimi nasimama kote, ni mtumiaji na ni muuzaji wa mashine hizi. KARIBU WADAU.
 
Hivi zinakua connected na system ya TRA?
Ndio zinakuwa connected na TRA na kwa sasa TRA Watahitaji kujiridhisha kama kweli wewe ni muhusika,

Iko hivi.
Kipindi cha nyuma tulikuwa tunafanya wenyewe kila kitu mwanzo mwisho yaan unatupatia TIN na kitambulisho kiash tunakuletea mashine ikiwa tayari, ila Kuna watu wakawa wanatumia nafasi hiyo kutengeneza mashine ambayo mwenye TIN au kampuni haitambui ( yaan nakupatia mashine yake Kisha natumia taarifa zako kuomba mashine nyingine ambayo hauitambui) na Kisha watu Hao wanaanza kuuza risiti mtaani bila wewe mhusika kuwa na taarifa na mwisho wa siku ukienda TRA unakutana na deni kubwa ambalo haulitambui.

hivyo basi ili kuondoa hiyo ikawekwa utaratibu kuwa baada ya sisi mawakala kufanya maombi ya mashine yako itabidi wewe ufikie TRA kudhibitisha mashine hiyo kwahiyo itapita Ile uliyodhibitisha tu ambayo haujadhibitisha haitapitishwa.
 
Hii mnona tumechelewa sana.kuwa nayo ,mi Kuna nchi nilienda 2016 na walikuwa tayari wanatumia receipt kwa.njia hii.ukishaingiza details zako.unapokea receipt yako unavyotaka kwa simu ,email au WhatsApp.
 
Hii mnona tumechelewa sana.kuwa nayo ,mi Kuna nchi nilienda 2016 na walikuwa tayari wanatumia receipt kwa.njia hii.ukishaingiza details zako.unapokea receipt yako unavyotaka kwa simu ,email au WhatsApp.
Good pia naona watanzania wameipokea vzuri sana na tangu nianze kuiuza imesaidia watu wengi hasa upande wa gharama na kufuatilia taarifa za mauzo yao.
 
Bei ya mashine.
Mambo gàni unatakiwa úwe nayo ili uitumie hiyo app
Bei kwa sasa ni 250,000 hii ni Ile ambayo hautaambiwa baada ya mwezi ulipie au limit yoyote katika utumiaji. Mahitaji ni kuwa na TIN ya biashara na Kitambulisho cha mkurugenzi au chako mwenye TIN.

Mhimu: Uwe unefanya makadilio hii itarahisha sana ndani ya siku moja unaweza kufanikisha kuwa na mashine 100%
 
Ndio zinakuwa connected na TRA na kwa sasa TRA Watahitaji kujiridhisha kama kweli wewe ni muhusika,

Iko hivi.
Kipindi cha nyuma tulikuwa tunafanya wenyewe kila kitu mwanzo mwisho yaan unatupatia TIN na kitambulisho kiash tunakuletea mashine ikiwa tayari, ila Kuna watu wakawa wanatumia nafasi hiyo kutengeneza mashine ambayo mwenye TIN au kampuni haitambui ( yaan nakupatia mashine yake Kisha natumia taarifa zako kuomba mashine nyingine ambayo hauitambui) na Kisha watu Hao wanaanza kuuza risiti mtaani bila wewe mhusika kuwa na taarifa na mwisho wa siku ukienda TRA unakutana na deni kubwa ambalo haulitambui.

hivyo basi ili kuondoa hiyo ikawekwa utaratibu kuwa baada ya sisi mawakala kufanya maombi ya mashine yako itabidi wewe ufikie TRA kudhibitisha mashine hiyo kwahiyo itapita Ile uliyodhibitisha tu ambayo haujadhibitisha haitapitishwa.
Okay, bei kwa mtu anaeanza kabisa. (Yaani ana TIN tu) ni kiasi gani kwa estimation.
 
Bei kwa sasa ni 250,000 hii ni Ile ambayo hautaambiwa baada ya mwezi ulipie au limit yoyote katika utumiaji. Mahitaji ni kuwa na TIN ya biashara na Kitambulisho cha mkurugenzi au chako mwenye TIN.

Mhimu: Uwe unefanya makadilio hii itarahisha sana ndani ya siku moja unaweza kufanikisha kuwa na mashine 100%
Okay, kumbe umeshajibu hapa.
 
Okay, kumbe umeshajibu hapa.
Yes ila 250,000 hiyo ni complete na printer yake Kuna wale wengine wateja wao sio mpaka uwapatie risiti ya karatasi yaan unweza kuwatumia kwenye simu hiyo hauhitaji printer ni system peke yake ambapo bei yake ni 150,000 tu.
 
Bei kwa sasa ni 250,000 hii ni Ile ambayo hautaambiwa baada ya mwezi ulipie au limit yoyote katika utumiaji. Mahitaji ni kuwa na TIN ya biashara na Kitambulisho cha mkurugenzi au chako mwenye TIN.

Mhimu: Uwe unefanya makadilio hii itarahisha sana ndani ya siku moja unaweza kufanikisha kuwa na mashine 100%

Bei kwa sasa ni 250,000 hii ni Ile ambayo hautaambiwa baada ya mwezi ulipie au limit yoyote katika utumiaji. Mahitaji ni kuwa na TIN ya biashara na Kitambulisho cha mkurugenzi au chako mwenye TIN.

Mhimu: Uwe unefanya makadilio hii itarahisha sana ndani ya siku moja unaweza kufanikisha kuwa na mashine 100%

Tin number lakini pia lazima biashara íwe na Leseni siô?
 
Ila mimi huwa najiuliza kuna wale wajanja wanatengeneza risiti ya tarehe ya mbele wanatumia ujanja gani.
 
Ila mimi huwa najiuliza kuna wale wajanja wanatengeneza risiti ya tarehe ya mbele wanatumia ujanja gani.
Nadhani Kuna software za kuedit ila ukiscan QR CODE ndio utaona vzuri
 
Sasa Efd machine itakataje Kodi Kwa biashara au kukadiria kodi Kwa biashara isiyo na Leseni?
Nieleweshe
TRA yeye anahusika na mapato kodi, umeingiza shiling ngapi unatakiwa ulipie shiling ngapi umeingiza kwa kufanya biashara gani hiyo ni ishu nyingine ambayo iko chini ya haashauri ambayo inakupa kibali au Leseni ya kufanya biashara fulani ila wanashirikiana.

Halmashari ndio watakuuliza tumekupatia kibali cha kuuza mahindi mbona unauza maandazi?

Ndio maana ili upate Leseni lazima uwe na taxclearance kwamba TRA mmemalizana na mojawapo ya kumaliza TRA ni kuwa na hiyo mashine nk.
 
Kwa wale wanaohitaji mashine za VFD au maelezo binafsi karibu sana PM,
 
TRA yeye anahusika na mapato kodi, umeingiza shiling ngapi unatakiwa ulipie shiling ngapi umeingiza kwa kufanya biashara gani hiyo ni ishu nyingine ambayo iko chini ya haashauri ambayo inakupa kibali au Leseni ya kufanya biashara fulani ila wanashirikiana.

Halmashari ndio watakuuliza tumekupatia kibali cha kuuza mahindi mbona unauza maandazi?

Ndio maana ili upate Leseni lazima uwe na taxclearance kwamba TRA mmemalizana na mojawapo ya kumaliza TRA ni kuwa na hiyo mashine nk.

Vizuri Sana
 
Hii mnona tumechelewa sana.kuwa nayo ,mi Kuna nchi nilienda 2016 na walikuwa tayari wanatumia receipt kwa.njia hii.ukishaingiza details zako.unapokea receipt yako unavyotaka kwa simu ,email au WhatsApp.
Hii Tanzania Kupitia Kampuni ya Pergamon Ulianzishwa Mwaka 2015 kupitia App yao ya Incodroid lakini haikuwa na muitikio mkubwa. Ilitumika na baadhi ya Supermarkets na Hotels.
 
Back
Top Bottom