Tujadili kuhusu upimaji wa viwanja

Tujadili kuhusu upimaji wa viwanja

bababite

Member
Joined
Mar 8, 2017
Posts
37
Reaction score
42
Ktk upimaji Kuna vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja mfano Mchoro wa mipango miji na Ramani ya upimaji, kwa kupitia mchoro wa mipango miji jumlisha na Ramani ya upimajiiliyosajiliwa ndiyo vigezo vinavyoweza kukufikisha kwenye kupata hatimiliki ya kisheria.

Apo nimejaribu kudodosa kwa ufupi tu
 
Lete mambo.

Ninayo nyumba kwenye maeneo yaliyorasimishwa, mwaka wa 3 huu sijapata hati na nimelipa kila kitu
 
Lete mambo.

Ninayo nyumba kwenye maeneo yaliyorasimishwa, mwaka wa 3 huu sijapata hati na nimelipa kila kitu
Kupata hati miliki inahitaji ufatiliaji wa hali ya juu wizarani.!!yaan uwe na mtu wa kuweza kupush mambo yaende kwa haraka .
Fuatilia kufaham kama mchoro wa upimaji umekuwa approved wizaran..Kama ni ndiyo Tuwasiliane niweze kukusaidia kupata hati yako kwa uharaka ..ndani ya mwezi mmoja utakuwa umeipata..

》 Contact: 0672 203 616
 
Kupata hati miliki inahitaji ufatiliaji wa hali ya juu wizarani.!!yaan uwe na mtu wa kuweza kupush mambo yaende kwa haraka .
Fuatilia kufaham kama mchoro wa upimaji umekuwa approved wizaran..Kama ni ndiyo Tuwasiliane niweze kukusaidia kupata hati yako kwa uharaka ..ndani ya mwezi mmoja utakuwa umeipata..

》 Contact: 0672 203 616
mkuu naomba msaada wa kubadili jina umiliki wa kiwanja chenye hati
 
Ktk upimaji Kuna vitu ambavyo vinaendana moja kwa moja mfano Mchoro wa mipango miji na Ramani ya upimaji, kwa kupitia mchoro wa mipango miji jumlisha na Ramani ya upimajiiliyosajiliwa ndiyo vigezo vinavyoweza kukufikisha kwenye kupata hatimiliki ya kisheria.

Apo nimejaribu kudodosa kwa ufupi tu
Mipango miji TZ tumefeli miji yetu ni ya hovyo
 
moja ya eneo lenye rushwa za wazi wazi Ni kwenye kuomba HATI
Sijui kwa nini. Hawa maofisa wa serikali wakiona unanunua kiwanja au nyumba basi wanahisi wewe ni tajiri sana una pesa za kumqaga kumbe na wewe unaganga njaa tu.
 
Kupata hati miliki inahitaji ufatiliaji wa hali ya juu wizarani.!!yaan uwe na mtu wa kuweza kupush mambo yaende kwa haraka .
Fuatilia kufaham kama mchoro wa upimaji umekuwa approved wizaran..Kama ni ndiyo Tuwasiliane niweze kukusaidia kupata hati yako kwa uharaka ..ndani ya mwezi mmoja utakuwa umeipata..

》 Contact: 0672 203 616
Kuna viwanja vilipimwa kimafungu huko Goba, mwanasheria kesha pitia. Nondo xilishasimikwa. Kupata hati ndio subiri x subiri. Hii unaweza fuatilia?
 
Back
Top Bottom