Uchaguzi 2020 Tujadili kwa manufaa ya Taifa: Uchaguzi 2020 twende na Nani na kwanini?

Lipi la maana alilofanya Magufuli?
 
Mimi nachojua MAGU tunamhitaji kwa miaka kadhaaa hata kama kuna maumivu lakini ili miradi kama SGR tuone implementation tunamhitaji sijuii akija rahis mwingine atakuwa na moto gan na sjui kama ataendeleza huo moto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…