Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Wewe hata hujui mambo ya madini tulia,Naonba niwe muwazi kwa nchi kama wawekezaji wanachimba dhahabu ya shs tril 2.2 kwa mwaka huu na nchi kupata bil 68 pekee ni aibu.
Kwa analysisi hiyo naona wachimbaji wadogo wana changia pakubwa kuliko hao wachimbaji wakubwa na tunasema sheria ya madini tunapata 50% kwa 50% kwanini wanatudanganya?
Nyumbu katika ubora wao!Wewe hata hujui mambo ya madini tulia,
Hicho alichosema ni mrahaba.
Sasa toafautisha mrahaba na faida ya nusu kwa nusu ambayo inatoka na hisa,
Mbona mnajifanya vipofu na viziwi?
Hata huna asante kama kabla ya kubadilisha mikataba tulipata bilioni 50 na sasa ni mara mbili bado ti huoni ni jitihada?
Kumbuka hiyo mikataba kama unaona bado ni ndogo basi mgombea wenu alisema kwa kiwango hicho tulifukuza wawekezaji sasa ina maana yeye angepunguza hizo kodi.
Kusikiliza na kuelewa ni vitu viwili tofauti ,umesikia hujaelewaNaonba niwe muwazi kwa nchi kama wawekezaji wanachimba dhahabu ya shs tril 2.2 kwa mwaka huu na nchi kupata bil 68 pekee ni aibu.
Kwa analysisi hiyo naona wachimbaji wadogo wana changia pakubwa kuliko hao wachimbaji wakubwa na tunasema sheria ya madini tunapata 50% kwa 50% kwanini wanatudanganya?
hizi data umezitoa wapi? magu hajasema hivyo usimlishe manenoNaonba niwe muwazi kwa nchi kama wawekezaji wanachimba dhahabu ya shs tril 2.2 kwa mwaka huu na nchi kupata bil 68 pekee ni aibu.
Kwa analysisi hiyo naona wachimbaji wadogo wana changia pakubwa kuliko hao wachimbaji wakubwa na tunasema sheria ya madini tunapata 50% kwa 50% kwanini wanatudanganya?
Kwani hujui hii awamu inaongozwa na mtu muongo na mpika data feki dunianiNaonba niwe muwazi kwa nchi kama wawekezaji wanachimba dhahabu ya shs tril 2.2 kwa mwaka huu na nchi kupata bil 68 pekee ni aibu.
Kwa analysis hiyo naona wachimbaji wadogo wanachangia pakubwa kuliko hao wachimbaji wakubwa na tunasema sheria ya madini tunapata 50% kwa 50% kwanini wanatudanganya?
Forgetful lier himself,hiyo 50% kwa 50% ni siasa.Tangia mwanzo CCM hawana jambo lolote wanaloweza kufanikisha,Failure after failure.Hizo takwimu haziakisi kuwa sekta inainufaisha nchi.Naonba niwe muwazi kwa nchi kama wawekezaji wanachimba dhahabu ya shs tril 2.2 kwa mwaka huu na nchi kupata bil 68 pekee ni aibu.
Kwa analysis hiyo naona wachimbaji wadogo wanachangia pakubwa kuliko hao wachimbaji wakubwa na tunasema sheria ya madini tunapata 50% kwa 50% kwanini wanatudanganya?
Halafu inawekwa SIRI hata kwa Bunge letu,huu ni wizi kama wizi mwingine.Haya ndiyo mambo yanayoenda kupatiwa ufumbuzi baada ya CDM kuingia madarakani October 2020.Watanzania tusipoiondoa CCM tutaendelea kuwa na hali mbaya zaidi.Siamini hii kitu, haiwezekani wachimbaji wadogo wakachangia zaidi ya wawekezaji wa nje, hapo tumedanganywa, lakini kama ni kweli hiyo yote imechangiwa na serikali ya CCM, wazee wa 10% mikataba inasainiwa hotelini ulaya.
Naonba niwe muwazi kwa nchi kama wawekezaji wanachimba dhahabu ya shs tril 2.2 kwa mwaka huu na nchi kupata bil 68 pekee ni aibu.
Kwa analysis hiyo naona wachimbaji wadogo wanachangia pakubwa kuliko hao wachimbaji wakubwa na tunasema sheria ya madini tunapata 50% kwa 50% kwanini wanatudanganya?