Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari wadau,
Mimi naomba kuuliza hivi hawa wana -CCM wanapata wapi kiburi na uhalali wa kusema serikali mbili ndio mfumo sahihi na unaoukabilika na watanzania wengi?
Labda niullize ni lini watanzania waliwahi kupewa fursa ya kupiga kura ya maoni juu ya muundo wa muungano na kuridhia muundo wa serikali mbili?
Wakati mwingine huo najiuliza,hivi ni kipi kilipaswa kuanza,mchakato wa kuandika katiba mpya au kura ya maoni kuamua hatima ya muungano na muundo wa muungano wenyewe?Hapa ni kipi kilipaswa kutangulia kati ya haya mambo mawili?
Mimi naamini hata tukipata katiba mpya,ipo siku tutarudi kupiga kura kuamua hatima ya huu muungano,
Kura ya maoni juu ya hatima na muundo wa muungano ni "deni" kwa watawala na ipo siku watalazimika kulilipa?
Nawaonya watawala hili "deni" halikwepeki bali riba(interest) ya deni hili inazidi ku-accumlate siku hadi siku.
Mimi naomba kuuliza hivi hawa wana -CCM wanapata wapi kiburi na uhalali wa kusema serikali mbili ndio mfumo sahihi na unaoukabilika na watanzania wengi?
Labda niullize ni lini watanzania waliwahi kupewa fursa ya kupiga kura ya maoni juu ya muundo wa muungano na kuridhia muundo wa serikali mbili?
Wakati mwingine huo najiuliza,hivi ni kipi kilipaswa kuanza,mchakato wa kuandika katiba mpya au kura ya maoni kuamua hatima ya muungano na muundo wa muungano wenyewe?Hapa ni kipi kilipaswa kutangulia kati ya haya mambo mawili?
Mimi naamini hata tukipata katiba mpya,ipo siku tutarudi kupiga kura kuamua hatima ya huu muungano,
Kura ya maoni juu ya hatima na muundo wa muungano ni "deni" kwa watawala na ipo siku watalazimika kulilipa?
Nawaonya watawala hili "deni" halikwepeki bali riba(interest) ya deni hili inazidi ku-accumlate siku hadi siku.