Tujadili mshahara wa TGS D kwa watumishi wanaoishi kwenye majiji

Elewa mshahara ni kwa ajili ya dhamana ya kukopea, maisha usukumwa kwa urefu wa kamba.
 
Ama kweli binadamu hatosheki..waliwahi kusema wahenga wa Kiswahili..ukute kabla ya kupata hiyo kazi umelialia sana kwa kukosa kazi.
 
  • take home ya 540,000 ni Pesa ndogo Sana
  • yaani bodaboda kumbe Wana Hela kuliko maafisa wa halmashauri, Kwa maana Kuna bodaboda kibao nawajua wanalaza 30,000/-+ Kwa mwezi kupata 900,000/- Sio issue, kunaa makondakta wanalaza 30,000/-+ Kwa siku
  • Fanya mpango utafute ajira nyingine yenye Pesa au Fanya ujasiriamali.
 
Omba uamisho uende kijijin au wilayani huko mikoani piga kazi mpaka ukifika tgs h au above hamia dar.
Njia ya pili ishi chini ya kipato yaani chini ya tgs d wekeza miradi midogomi dogo na hifadhi Kadri uwezavyo.
 
Hii nchi INA kazi ya ziada!!! Yan MTU unakaa unajadiki kitu kisicho na faida kwako hata 0/1% !??? Duuu
 
Boda boda wa wapi mkuu wanalaza 30k+ kwa siku nitume watu waje wapige kazi huko mkuu.?
 
Mdanganye mwenzio bodaboda gani analaza 30000

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…