Uchaguzi 2020 Tujadili, tunataka kuongozwa au kutawaliwa?

Uchaguzi 2020 Tujadili, tunataka kuongozwa au kutawaliwa?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Ukiongozwa una nafasi yakumweleza kiongozi njia sahihi pale unapobaini mnakwenda wrong direction. Mkiongozwa mnaridhia,mnakubaliana na kusimamia misingi ya kuongozana bila kupindisha au kuegemea upande mmoja; kuongozwa ni msingi wakusimamia haki zako.

Kutawaliwa nikuburuzwa, nikufundisha chakusema, nikufundisha kufikiri na kuzungumza sawa na mtawala, nikuunga mkono juhudi za anayekitawala, nikuruhusu kufilisika kifikra kwa ujira mdogo, nikumweka mwanadamu/mtawala mbele nakumsau mtoa pumzi. Kutawaliwa ni kuruhusu kuwa mtumwa.

Tarehe 28/10/2020 utachagua kuongozwa au kutawaliwa?
 
Tuna taka kuongozwa na Mhe Lissu ambaye anajali utu wa binadamu na amepitia kila aina ya shida na siyo kutawaliwa kama wanyama
 
Mtawala akiwa kazini,hao ng'ombe wanatakiwa kuunga mkono juhudi za kulima kinyume nyume bila kutakiwa kuuliza swali lolote!
450908765.jpg
 
Kumchagua Aunt Lee ni kuchagua kutawaliwa , kama tu kampeni zake na ilani ya chama chake vimewapa nafasi mabeberu akipiita si tunakuja pokonywa nchi yetu ?
 
Ilani ya chadema UK.84 wameweka wazi kuwa wataweka dhamana madini yetu kwaajili ya kupata fedha miradi wakati ndio sekta ya kwanza inayokuza pato la Taifa kwa Trillion 2.7 ikifuatiwa na sekta ya utalii huyo hana nia ya kuongoza anahitaji kutawala
 
Tusidanganyike !Maendeleo ni Mchakato, yapo mengi aliyofanya Rais wetu na Tunajivunia kua na Rais Mazalendo na Mchapakazi kama Dr.Magufuli ..Tunaendelea Nae...!KURA KWA MAGUFULI
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
#ChaguaMagufuli
 
Tunataka kuongozwa.


Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
Lissu
 
Mwafrika kokote aliko duniani, kwa hulka yake, suala la kuongozwa...yeye bado sana.
Ili afanye mambo ya maana mtawale.

Ukweli mchungu!
 
Mbowe mbona anawakamua na kuwatawala pale Ufipa mmekaa kimya tu. Wapi ruzuku, wapi ile 1.5M za michango ya wabunge?. Ndio maana mwaitwa misukule ninyi, ikulu mtaiona kwenye TV tu.
 
Back
Top Bottom