Tujadili ubaguzi; Kwanini viongozi wakubwa wanaoibia Taifa letu awachapwi viboko adharani mbele ya camera?

Tujadili ubaguzi; Kwanini viongozi wakubwa wanaoibia Taifa letu awachapwi viboko adharani mbele ya camera?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Maskini katika nchi yetu akihisiwa kutenda kosa au akituhumiwa kutenda kosa viongozi uchukua vyombo vya habari na Polisi kisha kuwachapa adharani. Matukio haya yamefanywa kwa waalimu, mafundi ,wanunuzi wa vyuma chakavu nk

Ukiangalia adhabu hii inavyotolewa ni wazi utagundua inatolewa kwa maskini na watu wasio na watetezi. Tunawizi wa mabilioni unafanywa na wasomi na viongozi waandamizi nchini lakini lakini sijawahi kusikia kiongozi akichapwa kiboko.

Kuna wafanyabiashara wakubwa wanafanya wizi na matendo ya hovyo lakini wakikamatwa awahojiwi bila kuwepo mawakili wao. Si tu KUHOJIWA lakini wanaweza wakakaa kimya hadi mawakili au wawakilishi wanaowaamini wafike ndipo watoe maelezo. Hawachapwi Wala kulazimishwa kimamlaka

Kama tunaamini tunataka kuitumia hii Kama adhabu kwanini tusiwachape Mawaziri, Makati wakuu, wakuu wa Wilaya na Mikoa nk adharani mbele ya camera?

Huu ubaguzi wa mnyonge kuchapwa Kama ng'ombe au punda huku wasomi na viongozi pamoja na familia zao wakipelekwa kwenye vyombo vya sheria tunautoa wapi?

Tunatengeneza Taifa la ubaguzi na lisiloamini katika usawa wa utu pale tunaruhusu viongozi kuchukua sheria mkononi kwa wanyongenambao hata wao Tanzania Ni Mali yao. Kama kweli hawa wanaochapa wanyonge viboko wanaamini wanarekebisha taifa basi wawachape pia viongozi, wafanyabiashara na wasomi/ royal family za nchi hii. UBAGUZI NI SUMU YA USTAWI WA TAIFA.
 
Maskini katika nchi yetu akihisiwa kutenda kosa au akituhumiwa kutenda kosa viongozi uchukua vyombo vya habari na Polisi kisha kuwachapa adharani. Matukio haya yamefanywa kwa waalimu, mafundi ,wanunuzi wa vyuma chakavu nk

Ukiangalia adhabu hii inavyotolewa ni wazi utagundua inatolewa kwa maskini na watu wasio na watetezi. Tunawizi wa mabilioni unafanywa na wasomi na viongozi waandamizi nchini lakini lakini sijawahi kusikia kiongozi akichapwa kiboko.

Kuna wafanyabiashara wakubwa wanafanya wizi na matendo ya hovyo lakini wakikamatwa awahojiwi bila kuwepo mawakili wao. Si tu KUHOJIWA lakini wanaweza wakakaa kimya hadi mawakili au wawakilishi wanaowaamini wafike ndipo watoe maelezo. Hawachapwi Wala kulazimishwa kimamlaka

Kama tunaamini tunataka kuitumia hii Kama adhabu kwanini tusiwachape Mawaziri, Makati wakuu, wakuu wa Wilaya na Mikoa nk adharani mbele ya camera?

Huu ubaguzi wa mnyonge kuchapwa Kama ng'ombe au punda huku wasomi na viongozi pamoja na familia zao wakipelekwa kwenye vyombo vya sheria tunautoa wapi?

Tunatengeneza Taifa la ubaguzi na lisiloamini katika usawa wa utu pale tunaruhusu viongozi kuchukua sheria mkononi kwa wanyongenambao hata wao Tanzania Ni Mali yao. Kama kweli hawa wanaochapa wanyonge viboko wanaamini wanarekebisha taifa basi wawachape pia viongozi, wafanyabiashara na wasomi/ royal family za nchi hii. UBAGUZI NI SUMU YA USTAWI WA TAIFA.
Naunga mkono kwamba wachapwe fimbo na wao.
 
Nchi ya wanyonge hii, inakubidi tu ukubali kuonewa kwa kuiba meza moja ila aloiba mabilioni anaambiwa arudi kwenye hekalu lake apumzike na kazi.

Nawaza kuingia kwenye siasa na nna mpango nkiwa rais naanza kufukua makaburi tangu 1995 kila mwenye mali ambazo hazikuendana na mshahara wake wakati wa uongozi mali zake zinataifishwa, ataishia kula pensheni na mananasi tu! :|
 
Maskini katika nchi yetu akihisiwa kutenda kosa au akituhumiwa kutenda kosa viongozi uchukua vyombo vya habari na Polisi kisha kuwachapa adharani. Matukio haya yamefanywa kwa waalimu, mafundi ,wanunuzi wa vyuma chakavu nk

Ukiangalia adhabu hii inavyotolewa ni wazi utagundua inatolewa kwa maskini na watu wasio na watetezi. Tunawizi wa mabilioni unafanywa na wasomi na viongozi waandamizi nchini lakini lakini sijawahi kusikia kiongozi akichapwa kiboko.

Kuna wafanyabiashara wakubwa wanafanya wizi na matendo ya hovyo lakini wakikamatwa awahojiwi bila kuwepo mawakili wao. Si tu KUHOJIWA lakini wanaweza wakakaa kimya hadi mawakili au wawakilishi wanaowaamini wafike ndipo watoe maelezo. Hawachapwi Wala kulazimishwa kimamlaka

Kama tunaamini tunataka kuitumia hii Kama adhabu kwanini tusiwachape Mawaziri, Makati wakuu, wakuu wa Wilaya na Mikoa nk adharani mbele ya camera?

Huu ubaguzi wa mnyonge kuchapwa Kama ng'ombe au punda huku wasomi na viongozi pamoja na familia zao wakipelekwa kwenye vyombo vya sheria tunautoa wapi?

Tunatengeneza Taifa la ubaguzi na lisiloamini katika usawa wa utu pale tunaruhusu viongozi kuchukua sheria mkononi kwa wanyongenambao hata wao Tanzania Ni Mali yao. Kama kweli hawa wanaochapa wanyonge viboko wanaamini wanarekebisha taifa basi wawachape pia viongozi, wafanyabiashara na wasomi/ royal family za nchi hii. UBAGUZI NI SUMU YA USTAWI WA TAIFA.
Upo sawa
 
Back
Top Bottom