Naomba tuchangie hii mada
kuna umuhimu wa kuchanganya nafaka zote sita au hata tano kati ya hizi ? mf ulezi mahindi uwele mtama ngano kwa wakati mmoja wakati wa kuandaa lishe ya mtoto.
nilisikia kwenye tv kipindi fulani dr anasema uchanganyaji huu wa lishe unasababisha uji upikwe kwa muda mrefu hivyo kusababisha baadhi ya virutubisho kwenye huo kupotea.
wadau wanaojua zaidi tuchangie
kuna umuhimu wa kuchanganya nafaka zote sita au hata tano kati ya hizi ? mf ulezi mahindi uwele mtama ngano kwa wakati mmoja wakati wa kuandaa lishe ya mtoto.
nilisikia kwenye tv kipindi fulani dr anasema uchanganyaji huu wa lishe unasababisha uji upikwe kwa muda mrefu hivyo kusababisha baadhi ya virutubisho kwenye huo kupotea.
wadau wanaojua zaidi tuchangie