Kwa stail hiyo narudi kwa mke nikafanye maamuziMADA
mkeo anarudi nyumbani kavimba vibaya!, unamuuliza anakujibu Kuwa kakutana Na vibaka wamemvamia, ila ukimcheki kila kitu chake karudi nacho, unapeleza unagundua kapigwa Na mchepuko wake unaonyeshwa mchepuko nawe unaenda straight kwa Jamaa unamuuliza anakujibu "bro Mimi yule ni mpenzi Wangu tuna Miaka miwili ila najua kama ni mkeo Na Namba zako nazijua ila nimekuta SMS za mwanaume mwingine Mimi ikaniuma nikaamua nimpige",,,,,,,je? Utadili Na Jamaa?, utamtafuta yule aliyetuma sms?, au utarudi kudili Na mkeo?,,,,,,,,,
TUJADILI...
Kama ni story sawa lakini kiuhalisia ni vigumu sana kutokea kitu cha namna hiyoMADA
mkeo anarudi nyumbani kavimba vibaya!, unamuuliza anakujibu Kuwa kakutana Na vibaka wamemvamia, ila ukimcheki kila kitu chake karudi nacho, unapeleza unagundua kapigwa Na mchepuko wake unaonyeshwa mchepuko nawe unaenda straight kwa Jamaa unamuuliza anakujibu "bro Mimi yule ni mpenzi Wangu tuna Miaka miwili ila najua kama ni mkeo Na Namba zako nazijua ila nimekuta SMS za mwanaume mwingine Mimi ikaniuma nikaamua nimpige",,,,,,,je? Utadili Na Jamaa?, utamtafuta yule aliyetuma sms?, au utarudi kudili Na mkeo?,,,,,,,,,
TUJADILI...
Hamna mkuu cjaoa its just kama story nkaona tujadili ingekuwa ww ungefanyaje
Ha ha ha hyo Kali mkuuUnanikumbusha kwenye movie moja inaenda kwa jina la ADDICTED, mwanamke alikua anachepuka na mwanaume mwingine, kisha akaongeza tena mchepuko mwingine. Sasa siku wamekutana mchepuko wa kwanza unamwambia mwanamke "...nilifikiri unachepuka kwa mme wako tu kumbe unamchepuko mwingine zaidi yangu?"