Tujaribu japo kwa mwezi tu...

Duh, kweli mambo mengine hata formula hayana, jana nimechemsha aisee!!!

wat happened tena??? me was just crossing the days in mu calender for you.......
ukianguka uamke usiendeleeee kulala hapo chini
stand up and lets go kaka...............
 
wat happened tena??? me was just crossing the days in mu calender for you.......
ukianguka uamke usiendeleeee kulala hapo chini
stand up and lets go kaka...............

Yaani we acha tu, nilikutana na hommies nikagida hadi kichwa iawa mahali yake aisee.. wakati nilishasema napunguza dose ya mitungi

Leo ni straight home hata iweje
 
hii ni vita na nina imani kwamba ile ilikuwa risasi imenipunyua tu...
 
Nikweli na amina!
 

Na iwe vivyi hivyo tangu sasa na hata milele,...
Usikate tamaa,mpaka ufike nchi ya ahadi waloahidiwa babu wa baba zako.
Nchi yenye mito ya,........
 
Another week has passed, yes i failed twice in just over ten days... but still thankful that i have failed ten times or more

Kazi ipo mwaka huu
 
Another week has passed, yes i failed twice in just over ten days... but still thankful that i have failed ten times or more

Kazi ipo mwaka huu

dah...pole mkuu! mi bora sijaweka maagano.....😱
 
dah...pole mkuu! mi bora sijaweka maagano.....😱
ni weli kabisa mkuu, ndio maana nilisisitiza neno "tujaribu"... ila asikuambie mtu, i have noted lots of positivity kwenye hili na hata nafsi inapata faraja

nilifikia hatua ya badhika bandua mazee
 
ni weli kabisa mkuu, ndio maana nilisisitiza neno "tujaribu"... ila asikuambie mtu, i have noted lots of positivity kwenye hili na hata nafsi inapata faraja

nilifikia hatua ya badhika bandua mazee

dah, huko ulifika mbali mpwa!
 
kuwahi hom ili kujiweka vizuri na kamanda
kuanza mazoezi ya nguvu ili kuondoa hizi love handles ambazo kwa jinzi zinavyokuwa kubwa mtu unaweza hata kuanikia combat la jeshi


Mkuu,
Sijakuelewa katika point hizo mbili, tafadhali nifafanulie.
 
Ndugu, kwanini iwe mwezi mmoja tuu isiwe kila siku? au kama huwezi kabisa kabisa iwe mara 3 kwa wiki katika maisha yako yote hapa duniani, na isiwe kusubiri kwaresma tuu jamani! jaribu bwana utafanikiwa!
 
Nashkuru mungu siku zinaenda na baada ya makashkash kedekede, nimefanikiwa kupitisha siku nyingine vizuri tu, ingawaje kuna siku kama tatu hivi niliangukia pua kabisaaaaa, eniwei its a positive percentage so far
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…