mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Nchi ya Zambia ilimpata Rais wake wa kwanza mwaka 1968 mzee Kaunda akitokea chama cha UNIP, na baadae wakafuata marais wengine kama 7.
Sasa mpaka mwaka 1988 chini ya Rais Mzee Kaunda huduma ya maji ilikuwa kama bure,
huduma za afya zilikuwa bure, elimu ilikuwa bure na Mzee Keneth alifanya hayo kwa kuuza Kopa na Tumbaku.
Tuliofika Zambia tunajua haya yote sasa ni gharama na mzigo kwa wananchi.
Sasa ukifuatilia kuanzia Chiliba mpaka leo hari inazidi kuwa mbaya na mbaya zaidi vyama vinabadilika viongozi wanabadilika lakini hari sio, tuanze jamani kupunguza hata kidogo imani kwa jamaa zetu waliotwita washenzi.
Swali. Je. Nikweli kuwa mfumo wa vyama vingi umekuwa moharobaini wa matatizo ya nchi za Afrika? Na je umasikini Afrika, vifo, njaa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vimeondoka?
Kwa mawazo yangu mimi kama mtoto wa mchugaji nakataa kabisa kuwa Afriaka hatuweza kuendelea kwa kuletewa maelekezo, mifumo na taratibu kutoka kwa wazungu. Yaani leo hii kilakitu tumeletewa kutoka nje kuanzia Lugha, uvaaji, chakula, sherehe, kuoa, dawa na kuaminishwa kuwa sisi hatukuwa na Mungu ila wao tu ndiyo walikuwa na Mungu na kutuletea dini. Na kibaya zaidi walisema kila kitu chetu kilikuwa cha kishenzi na sisi tukakubari kuwa tulikuwa washenzi.
Ninachotaka kusema hapa ni kuwa kufuata mifumo ya kizungu kwanza ni migumu kwetu na ya uongo ndiyo maana mimi nampongeza Freemani Aikaeli Mbowe na Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kushika hatamu kwa muda mrefu madarakani au ofisini, wanafanana kama Marikia Elizabeth wa Uingereza, yeye amekuwapo madarakani tangia mwaka 1952 mpaka leo anamiaka takribani 70 sasa yupo ofisini yule bibi.
Mfumo wetu wa siasa Afrika ulikuwa unafanana na ule wa marikia ndiyo maana Mbowe yupo sahihi kabisa kuwepo ofisini kwa miaka 30 sasa kwani ndiyo asili yetu ya utawala na CCM pia inakaribia miaka 60 madarakani ipo sahihi kwa sababu sisi tulikuwa na viongozi wa Chifudom na Kingdom.
Ninaipongeza sana Chadema, naipongeza CCM na Kingdom ya Muswati kule Eswatini kwani historia yake inafana kingdom ya Uingereza, Japan, Israel, falme ya kiarabu na falme nyingi nyingi duniani.
Nawasilisha mtoto wa mchungaji.
- Fredrick Chiluba
- Levy Mwanawasa
- Rupia Banda
- Michael Sata
- Guy Scott
- Ediger Lungu na
- Hakainde Hichelema
- UNIP
- MMD
- PF
- UPND
Sasa mpaka mwaka 1988 chini ya Rais Mzee Kaunda huduma ya maji ilikuwa kama bure,
huduma za afya zilikuwa bure, elimu ilikuwa bure na Mzee Keneth alifanya hayo kwa kuuza Kopa na Tumbaku.
Tuliofika Zambia tunajua haya yote sasa ni gharama na mzigo kwa wananchi.
Sasa ukifuatilia kuanzia Chiliba mpaka leo hari inazidi kuwa mbaya na mbaya zaidi vyama vinabadilika viongozi wanabadilika lakini hari sio, tuanze jamani kupunguza hata kidogo imani kwa jamaa zetu waliotwita washenzi.
Swali. Je. Nikweli kuwa mfumo wa vyama vingi umekuwa moharobaini wa matatizo ya nchi za Afrika? Na je umasikini Afrika, vifo, njaa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vimeondoka?
Kwa mawazo yangu mimi kama mtoto wa mchugaji nakataa kabisa kuwa Afriaka hatuweza kuendelea kwa kuletewa maelekezo, mifumo na taratibu kutoka kwa wazungu. Yaani leo hii kilakitu tumeletewa kutoka nje kuanzia Lugha, uvaaji, chakula, sherehe, kuoa, dawa na kuaminishwa kuwa sisi hatukuwa na Mungu ila wao tu ndiyo walikuwa na Mungu na kutuletea dini. Na kibaya zaidi walisema kila kitu chetu kilikuwa cha kishenzi na sisi tukakubari kuwa tulikuwa washenzi.
Ninachotaka kusema hapa ni kuwa kufuata mifumo ya kizungu kwanza ni migumu kwetu na ya uongo ndiyo maana mimi nampongeza Freemani Aikaeli Mbowe na Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kushika hatamu kwa muda mrefu madarakani au ofisini, wanafanana kama Marikia Elizabeth wa Uingereza, yeye amekuwapo madarakani tangia mwaka 1952 mpaka leo anamiaka takribani 70 sasa yupo ofisini yule bibi.
Mfumo wetu wa siasa Afrika ulikuwa unafanana na ule wa marikia ndiyo maana Mbowe yupo sahihi kabisa kuwepo ofisini kwa miaka 30 sasa kwani ndiyo asili yetu ya utawala na CCM pia inakaribia miaka 60 madarakani ipo sahihi kwa sababu sisi tulikuwa na viongozi wa Chifudom na Kingdom.
Ninaipongeza sana Chadema, naipongeza CCM na Kingdom ya Muswati kule Eswatini kwani historia yake inafana kingdom ya Uingereza, Japan, Israel, falme ya kiarabu na falme nyingi nyingi duniani.
Nawasilisha mtoto wa mchungaji.