Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Elimu yetu inahitaji marekebisho makubwa sana tusiendelee kutoa elimu ya kuchora panzi tu tuendelee kutoa elimu kwa vitendo ili tusiendelee kuwa na vijana wengi waliokosa ajira mitaani.
Nilikua naamka usiku wa manane kuchora hii panzi kwa ajili ya mtihani, ila mpaka sasa sijaona application ya huyu panzi kwenye maisha, au kuna mtu kaona application huko mtaani?
Chanzo cha picha:Arthropod Morphology: Parts Of A Grasshopper | AMNH.
Hivyo basi ili twende na wakati tunahitaji wizara ya elimu itoke kwenye mfumo wa kuhesabu miguu ya jongoo na kuchora panzi wizara itupe Maarifa, Ujuzi na Kuwa na Mitazamo Chanya Kuhusu Maisha Yetu ya Sasa na baadae
Elimu ya kukaririsha haina msaada Dunia ya sasa.
Chanzo cha picha:Relativity Project | schoolspace.gr
Chanzo cha picha : The Africa womb Facebook
Hivyo basi tuwekeze nguvu katika mabadiliko haya ili tuwe na elimu nzuri kwa vitendo
Je, ni faida zipi zitapatikana kupitia maboresho haya?
1. Kutatua changamoto za ajira
2. Nchi Itakuwa na wabunifu wengi wakutosha
3. Nchi itapiga hatua masikini watapungua
Hitimisho: Ni vyema tukaangalia Mitaala ya elimu yetu pia Muda wa Wanafunzi kuwa Darasani Kwa Vitendo zaidi Kuliko nadharia hii itawezekana kama Tukiamua mabadiliko
Nilikua naamka usiku wa manane kuchora hii panzi kwa ajili ya mtihani, ila mpaka sasa sijaona application ya huyu panzi kwenye maisha, au kuna mtu kaona application huko mtaani?
Chanzo cha picha:Arthropod Morphology: Parts Of A Grasshopper | AMNH.
Hivyo basi ili twende na wakati tunahitaji wizara ya elimu itoke kwenye mfumo wa kuhesabu miguu ya jongoo na kuchora panzi wizara itupe Maarifa, Ujuzi na Kuwa na Mitazamo Chanya Kuhusu Maisha Yetu ya Sasa na baadae
Elimu ya kukaririsha haina msaada Dunia ya sasa.
Chanzo cha picha:Relativity Project | schoolspace.gr
Chanzo cha picha : The Africa womb Facebook
Hivyo basi tuwekeze nguvu katika mabadiliko haya ili tuwe na elimu nzuri kwa vitendo
Je, ni faida zipi zitapatikana kupitia maboresho haya?
1. Kutatua changamoto za ajira
2. Nchi Itakuwa na wabunifu wengi wakutosha
3. Nchi itapiga hatua masikini watapungua
Hitimisho: Ni vyema tukaangalia Mitaala ya elimu yetu pia Muda wa Wanafunzi kuwa Darasani Kwa Vitendo zaidi Kuliko nadharia hii itawezekana kama Tukiamua mabadiliko
Upvote
0