Tujifunze Kifo ni Kifoo ( Tafakari ya kauli ya kifo ni kifo)

Tujifunze Kifo ni Kifoo ( Tafakari ya kauli ya kifo ni kifo)

August

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2007
Posts
9,327
Reaction score
5,206
Baada ya kuelezwa Kuwa Kifo ni Kifoo, na hiki cha Mzee Kibao ni Kifo Tu, Kwa nini hicho kina kelele Sana.
Na tukapewa mlinganisho wa Mtoto wa Shule Kwa walioendelea kapiga risasi na kuua wenzake.
Lakini hicho hakina kelele kama cha Mzee wetu.

Sasa tutafakari mazingira ya hayo matukio na mengineyo.

1. Tuanze na Hilo la mtoto , aliye ua anaeleweka na tatizo lake Lina eleweka na hatua zimechukuliwa. Na kelele zake ni kuhusiana na na umiliki holela WA silaha huko us. Kwa Nchi zingine matatizo yanakuwa ni visu kutumia au masala ya ugaidi ambayo Yana njia zake za kukabiliana nayo, Kwa vyombo vya usalama, kufanya kazi zao.

Sasa kuna vifo ambavyo vinatokana na vyombo vya usalama au vinavyo dhaniwa WA usalama w, vinavyotegemewa kutulinda Sisi. Sasa hapo inapotokea Kifo ni vibaya raia au asasi zingine kulaani "Kifo hicho" au MTU anaposema kifo ni Kifo ni Sawa.

Tumeona hata huko US pale vyombo vya usalama wanapofanya tofauti ya matarajio, Kwa mfano US watu wamekuwa walifanya maandamano makubwa ili kuishinikiza serikali Yao kuchukua hatua ili kurekebisha Hali hiyo. Hivyo ni vizuri tukatengenisha matukio hayo na kujielekeza katika kutatua matatizo kama hayo. Na mifano hiyo unaweza kwenda mbele kwa kuangalia tukio la Daktari kufanya kinyume cha matarajio yetu au ya mgonjwa.

Mfano wa vifo vya watu weusi mikononi mwa vyombo vya usalama
 
Baada ya kuelezwa Kuwa Kifo ni Kifoo, na hiki cha Mzee Kibao ni Kifo Tu, Kwa nini hicho kina kelele Sana.
Na tukapewa mlinganisho wa Mtoto wa Shule Kwa walioendelea kapiga risasi na kuua wenzake.
Lakini hicho hakina kelele kama cha Mzee wetu.

Sasa tutafakari mazingira ya hayo matukio na mengineyo.

1. Tuanze na Hilo la mtoto , aliye ua anaeleweka na tatizo lake Lina eleweka na hatua zimechukuliwa. Na kelele zake ni kuhusiana na na umiliki holela WA silaha huko us. Kwa Nchi zingine matatizo yanakuwa ni visu kutumia au masala ya ugaidi ambayo Yana njia zake za kukabiliana nayo, Kwa vyombo vya usalama, kufanya kazi zao.

Sasa kuna vifo ambavyo vinatokana na vyombo vya usalama au vinavyo dhaniwa WA usalama w, vinavyotegemewa kutulinda Sisi. Sasa hapo inapotokea Kifo ni vibaya raia au asasi zingine kulaani "Kifo hicho" au MTU anaposema kifo ni Kifo ni Sawa.

Tumeona hata huko US pale vyombo vya usalama wanapofanya tofauti ya matarajio, Kwa mfano US watu wamekuwa walifanya maandamano makubwa ili kuishinikiza serikali Yao kuchukua hatua ili kurekebisha Hali hiyo. Hivyo ni vizuri tukatengenisha matukio hayo na kujielekeza katika kutatua matatizo kama hayo. Na mifano hiyo unaweza kwenda mbele kwa kuangalia tukio la Daktari kufanya kinyume cha matarajio yetu au ya mgonjwa.

Mfano wa vifo vya watu weusi mikononi mwa vyombo vya usalama
That's why Mimi binafsi Kamwe siungi mkono kabisa kuondolewa kwa adhabu ya kifo hapa Tanzania na hata katika nchi zingine zote kabisa, hususani nchi za Afrika. Sikubaliani kabisa na Hoja hii ya kufuta adhabu ya kifo.
Wapo baadhi ya Wahalifu wanastahili kupewa adhabu ya kifo, na pia wanastahili kunyongwa hadi kufa.
Matahalani, kwa hapa Tanzania kuna Askari Polisi wengi Sana wamekuwa wakifanya vitendo vya uhalifu wa kupora Mali za raia na kisha raia hao wamekuwa wakiuawa makusudi ili kupoteza Ushahidi, watu wengi pia wamekuwa wakiuawa kwa makusudi wakiwa mikononi mwa Askari Polisi au wakiwa kwenye Vituo vya Polisi, na Wauaji wamekuwa hawachukuliwi hatua zozote zile Kali za kuwapa fundisho juu ya uhalifu wao huo. Askari Polisi wamekuwa wakihusika katika uhalifu kama huo kwa kuwa Wana uhakika kuwa na wao hawatauwa badala yake wanahamisika zaidi na zaidi kuendelea kuua watuhumiwa. Mimi binafsi naamini kwa dhati kabisa kwamba Endapo kama Rais wa nchi hii angesaini Hati ya Kifo dhidi ya OCD Christopher Bageni, yule Askari Polisi aliyewaua kikatili wale Wafflanyabiashara wa madini kutoka huko Mahenge Morogoro, Basi Polisi wangeogopa kufanya matukio mengine ya uporaji na mauaji dhidi ya Wananchi.

Aidha, Endapo kama OCD Christopher Bageni angenyongwa hadi kufa Basi lile tukio la mauaji la Bw. Hamza Mohamed pale Selander Bridge Dsm kamwe lisingeweza kutokea, na hata yule Mfanyabiashara kijana wa madini kule Mtwara pia asingeweza kuuawa na wale Askari Polisi walioongozwa na OC-CID Kalanje.

Mwisho:
Namshauri Rais SSH akubali kusaini Hati ya Kifo ili aliyekuwa OCD Christopher Bageni aweze kunyongwa hadi kufa, kwa sababu Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani tayari zimeshatoa idhini na baraka zote kabisa kwamba mtu huyo anastahili kunyongwa hadi kufa. Huku mitaani kuna chuki kubwa sana dhidi ya hao Watu.
Endapo kama Rais anaona labda pengine kutokana na Imani yake ya kidini hawezi kusaini Hati za Kifo ili Watu hao wanyongwe, Basi namshauri AKASIMISHE MADARAKA hayo kwa Watu wengine walio chini yake ili waweze kutekeleza jukumu hilo kwa niaba yake.

Inakera Sana kwa kweli kuendelea kuwaona Watu wauaji ambao waliua wenzao kwa makusudi Halafu wao bado wanaachwa waendelee kufaidi maisha, Kamwe jambo hili halikubaliki hata kidogo.
 
That's why Mimi binafsi Kamwe siungi mkono kabisa kuondolewa kwa adhabu ya kifo hapa Tanzania na hata katika nchi zingine zote kabisa, hususani nchi za Afrika. Sikubaliani kabisa na Hoja hii ya kufuta adhabu ya kifo.
Wapo baadhi ya Wahalifu wanastahili kupewa adhabu ya kifo, na pia wanastahili kunyongwa hadi kufa.
Matahalani, kwa hapa Tanzania kuna Askari Polisi wengi Sana wamekuwa wakifanya vitendo vya uhalifu wa kupora Mali za raia na kisha raia hao wamekuwa wakiuawa makusudi ili kupoteza Ushahidi, watu wengi pia wamekuwa wakiuawa kwa makusudi wakiwa mikononi mwa Askari Polisi au wakiwa kwenye Vituo vya Polisi, na Wauaji wamekuwa hawachukuliwi hatua zozote zile Kali za kuwapa fundisho juu ya uhalifu wao huo. Askari Polisi wamekuwa wakihusika katika uhalifu kama huo kwa kuwa Wana uhakika kuwa na wao hawatauwa badala yake wanahamisika zaidi na zaidi kuendelea kuua watuhumiwa. Mimi binafsi naamini kwa dhati kabisa kwamba Endapo kama Rais wa nchi hii angesaini Hati ya Kifo dhidi ya OCD Christopher Bageni, yule Askari Polisi aliyewaua kikatili wale Wafflanyabiashara wa madini kutoka huko Mahenge Morogoro, Basi Polisi wangeogopa kufanya matukio mengine ya uporaji na mauaji dhidi ya Wananchi.

Aidha, Endapo kama OCD Christopher Bageni angenyongwa hadi kufa Basi lile tukio la mauaji la Bw. Hamza Mohamed pale Selander Bridge Dsm kamwe lisingeweza kutokea, na hata yule Mfanyabiashara kijana wa madini kule Mtwara pia asingeweza kuuawa na wale Askari Polisi walioongozwa na OC-CID Kalanje.

Mwisho:
Namshauri Rais SSH akubali kusaini Hati ya Kifo ili aliyekuwa OCD Christopher Bageni aweze kunyongwa hadi kufa, kwa sababu Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufani tayari zimeshatoa idhini na baraka zote kabisa kwamba mtu huyo anastahili kunyongwa hadi kufa. Huku mitaani kuna chuki kubwa sana dhidi ya hao Watu.
Endapo kama Rais anaona labda pengine kutokana na Imani yake ya kidini hawezi kusaini Hati za Kifo ili Watu hao wanyongwe, Basi namshauri AKASIMISHE MADARAKA hayo kwa Watu wengine walio chini yake ili waweze kutekeleza jukumu hilo kwa niaba yake.

Inakera Sana kwa kweli kuendelea kuwaona Watu wauaji ambao waliua wenzao kwa makusudi Halafu wao bado wanaachwa waendelee kufaidi maisha, Kamwe jambo hili halikubaliki hata kidogo.
Na Kwa hili la madini, familia wamepoteza Mali ambazo waliopewa na hawa Polisi na uhai WA Ndugu Yao. Naona tungeongeza kwamba serikali walipe fidia Kwa Mali iliyopotea, zaidi ya adhabu Kwa muhusika
 
Back
Top Bottom