Man filandu
JF-Expert Member
- Aug 31, 2023
- 412
- 402
Hilo la gorofa ndio umebakiziwa wewe sasa ulifanye kwa upande wakoKosa kubwa alilofanya ni ile akili ya MTU mweusi ya kufanya Accumulation bila distribution
Yale maeneo potential yote aliyojimilikisha kigamboni Kama angeamua kutoa ghorofa lake moja akawapa wanafunzi wakaishi bure au akawa na programs maalumu za kuwalipia Ada wanafunzi hata wanafunzi 100 kila mwaka .
Tafsiri sahihi ya utajiri ya MTU mweusi huwa inafikirisha Sana .
Uoni ata kiongozi wenu anadiliki kuwapa viongozi wa Dini Milioni mia mia lakini kuna watoto yatima wanakosa elimu, hizo bilioni Moja mpaka sasa angewalipia Mayatimq ada na chakula watoto yatima wangeisha mitaani Bilioni moja ingewalipa mpaka elimu ya juu.Mkuu niliwahi kusema matajiri wakubwa TANZANIA hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii nikatukanwa na kuambiwa nitafute vyangu.
ukiwa masikini libido/testosterones zinakuwa always high, wenye pesa huwa ni reverseKwanza minashangaa wanazaa kwanini, hakuna haja ya kuzaa🤨
Na hili ni sahihi kabisaaa ukizingatia wake wa maboss kama hao wanapenda sana kudeka hvo na suala la kuzaa watoto wanaonaga ni kama kujichosha na ushamba hvo huishia kuzaa watoto wawili au watatuKuna kitu inawezekana hatukijui Ila hao unakuta Wana watoto 2 ndani Ila nje wapo 5 hivyo kupanga ni kuchagua
Ficha basi ushamba wakati mwingine.Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Nashangaa ndugu yangu. Bado tuna safari ndefu sana ya mitazano na kuto ku judge wengine . Kila mtu ana aina yake ya kuomboleza , walishalia walishatulizwa kwanza wako kwenye shock- na yaelekea wamekuzwa in a matured manner kuweza kua bsorb mambo. Je tutasema mtu akilia kwa mayowe na kugala gala ndio kipimo cha huzuni, no way? Je huzuni lazma mtu awe mchafu na madera nk no way. Hebu watanzania tuachane na ushamba usio kuwa na maana. Ukuiona kuomboleza ni mayowe good then usimshangae ambaye kuomboleza ni kuwa calm . Ni kama tunataka taifa zima tabakia zama za mawe katika lifestyle.Kwani ukilia kwa kuzimia ndo nini yaani? Walishalia kidogo inatosha.
Mungu ndiye anakuza watuUtaweza kuwahudumia hao 20? Lets be realisticaly here, can you keep up with them mpaka wajitegemee?
Negative, hizo ni kauli za watu wanaokwepa kufikiri. You want more kids, unaweza kuwakuza at this modern ages?Mungu ndiye anakuza watu
Tambua kitu kimoja kila mtu anapofanya jambo kunakuwa na sababu,mfano Hao wasomi hawana mda mwingi wakukaa na familia zao tofauti na familia zingine Ambapo watoto ni baraka na faraja kubwaNipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? Na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Walishalia imetoshaWatoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Zaa Hadi mbegu ziisheMimi sioni cha kujifunza kutoka kwa ndungulile mimi nitazaa as much as possible kwanza hawa 4 hawanitoshi ndiyo kwanza nina 28
Wewe ni mpumbavuNipo nacheki hapa msiba wa Ndugulile, kuacha watoto wawili tu, pamoja alikuwa ana uwezo wa kipesa na cheo lakini kaishia kwenye watoto wawili, watoto wawili hawa naona kawakuza na kuwasomesha kwenye shule za gharama inawezekana nje ya nchi maana hata Kiswahili chao ni broken sana wanakuwa kama sio watanzania.
Lawrence Mafuru nae nadhani aliacha watoto wawili tu.
Swali kwa makapuku wenzangu, hivi Sisi maskini tunazaa watoto wengi ili iweje? Na utakuta pengne hata uwezo wa kuwahudumia tuu kikamilifu kwenye elimu na gharama za kila siku hatuwezi, nini maana ya hii?
Nahis NI vizuri kuzaa watoto kulingana na kipato chako, ambao utawamudu vizuri, utakaowapa elimu ya uhakika sio hii ya kuunga unga.
Sisi maskini tunawaza eti tukizaa watoto wengi ndio hao badae watatusaidia, wewe mzazi somesha mtoto, hudumia kwa kadiri ya uwezo wako maana ni jukumu lako, badae akipata maisha mazuri NI yeye sasa atajua atakusaidiaje, ndio ile utakuta wazazi wananunia wakwe zao wanaona kama wao ndio wanafanya wasipewe pesa na mtoto wao.
Tuzae Kwa mahesabu, utakuta mtu ana watoto wanne, halafu kapanga chumba na sebule, sasa jiulize hapo ndani wanaishije, tuwekeze nguvu kwenye kujenga uchumi Kwanza na kuzaa kwa akili.
Misiba ya kishua ndo ilivyo, nimeona mingi sana, sijui wanakisaga bond au nini sijui.Watoto wakavu utasema wamefiwa na jirani.
Hata wewe, pamoja na familia yakoWewe ni mpumbavu