Tujifunze kitu kwa misiba ya vigogo hawa na idadi ya watoto

Hilo la gorofa ndio umebakiziwa wewe sasa ulifanye kwa upande wako
 
Mkuu niliwahi kusema matajiri wakubwa TANZANIA hawana msaada wa moja kwa moja kwa jamii nikatukanwa na kuambiwa nitafute vyangu.
Uoni ata kiongozi wenu anadiliki kuwapa viongozi wa Dini Milioni mia mia lakini kuna watoto yatima wanakosa elimu, hizo bilioni Moja mpaka sasa angewalipia Mayatimq ada na chakula watoto yatima wangeisha mitaani Bilioni moja ingewalipa mpaka elimu ya juu.
 
Kuna kitu inawezekana hatukijui Ila hao unakuta Wana watoto 2 ndani Ila nje wapo 5 hivyo kupanga ni kuchagua
Na hili ni sahihi kabisaaa ukizingatia wake wa maboss kama hao wanapenda sana kudeka hvo na suala la kuzaa watoto wanaonaga ni kama kujichosha na ushamba hvo huishia kuzaa watoto wawili au watatu
 
Kwani ukilia kwa kuzimia ndo nini yaani? Walishalia kidogo inatosha.
Nashangaa ndugu yangu. Bado tuna safari ndefu sana ya mitazano na kuto ku judge wengine . Kila mtu ana aina yake ya kuomboleza , walishalia walishatulizwa kwanza wako kwenye shock- na yaelekea wamekuzwa in a matured manner kuweza kua bsorb mambo. Je tutasema mtu akilia kwa mayowe na kugala gala ndio kipimo cha huzuni, no way? Je huzuni lazma mtu awe mchafu na madera nk no way. Hebu watanzania tuachane na ushamba usio kuwa na maana. Ukuiona kuomboleza ni mayowe good then usimshangae ambaye kuomboleza ni kuwa calm . Ni kama tunataka taifa zima tabakia zama za mawe katika lifestyle.
 
Mungu ndiye anakuza watu
Negative, hizo ni kauli za watu wanaokwepa kufikiri. You want more kids, unaweza kuwakuza at this modern ages?
Look at your financial capacity, else utaishia kuchakaa, na kuwalaumu bure
 
Tambua kitu kimoja kila mtu anapofanya jambo kunakuwa na sababu,mfano Hao wasomi hawana mda mwingi wakukaa na familia zao tofauti na familia zingine Ambapo watoto ni baraka na faraja kubwa
 
Wewe ni mpumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…