Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Ipo dhana ambayo imejengwa na baadhi ya wapenzi wa vyama vya siasa, kwa kuwaita machawa, wale wote wanaoonekana kuipenda CCM, kwa mioyo yao.
Watanzania wanauhuru wa kupenda chama chochote cha kisiasa kwa mujibu wa upenzi wa mioyo yao, bila kubughudhiwa wala kuzodolewa.
Kwa wana CCM huwa hawaoni Tabu au nongwa pale wanachadema wanapomsifia kiongozi wao, tofauti kabisa kwa jinsi ambavyo wanachadema wanavyo muona mwana CCM Akimpamba kiongozi wake huku akiwa amejipamba na vazi lake Zuri la kijani kibichi.
N. B,
TUJIFUNZE KUHESHIMU UTASHI WA WENGINE.
#sorry kidogo swahili yangu siyo nzuri sana.
Watanzania wanauhuru wa kupenda chama chochote cha kisiasa kwa mujibu wa upenzi wa mioyo yao, bila kubughudhiwa wala kuzodolewa.
Kwa wana CCM huwa hawaoni Tabu au nongwa pale wanachadema wanapomsifia kiongozi wao, tofauti kabisa kwa jinsi ambavyo wanachadema wanavyo muona mwana CCM Akimpamba kiongozi wake huku akiwa amejipamba na vazi lake Zuri la kijani kibichi.
N. B,
TUJIFUNZE KUHESHIMU UTASHI WA WENGINE.
#sorry kidogo swahili yangu siyo nzuri sana.