Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Bila shaka wewe ni mmoja wa hao unaowatetea.Ipo dhana ambayo imejengwa na baadhi ya wapenzi wa vyama vya siasa, kwa kuwaita machawa, wale wote wanaoonekana kuipenda CCM, kwa mioyo yao.
Watanzania wanauhuru wa kupenda chama chochote cha kisiasa kwa mujibu wa upenzi wa mioyo yao, bila kubughudhiwa wala kuzodolewa,
Kwa wana ccm huwa hawaoni lolote pale wanachadema wanapomsifia kiongozi wao,tofauti ambavyo jinsi vile wanachadema wanavyo muona mwana CCM akipambana kiongozi wake huku akiwa amejipamba na vazi lake Zuri la kijani kibichi,
N. B,
TUJIFUNZE KUHESHIMU UTASHI WA WENGINE.
Chawa mna solidarity ya hali ya juu sana.Ipo dhana ambayo imejengwa na baadhi ya wapenzi wa vyama vya siasa, kwa kuwaita machawa, wale wote wanaoonekana kuipenda CCM, kwa mioyo yao.
Watanzania wanauhuru wa kupenda chama chochote cha kisiasa kwa mujibu wa upenzi wa mioyo yao, bila kubughudhiwa wala kuzodolewa,
Kwa wana ccm huwa hawaoni lolote pale wanachadema wanapomsifia kiongozi wao,tofauti ambavyo jinsi vile wanachadema wanavyo muona mwana CCM akipambana kiongozi wake huku akiwa amejipamba na vazi lake Zuri la kijani kibichi,
N. B,
TUJIFUNZE KUHESHIMU UTASHI WA WENGINE.
Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi wao, (unafiki), tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo kwasasa uchawa a.k.a kujizima dataIpo dhana ambayo imejengwa na baadhi ya wapenzi wa vyama vya siasa, kwa kuwaita machawa, wale wote wanaoonekana kuipenda CCM, kwa mioyo yao.
Watanzania wanauhuru wa kupenda chama chochote cha kisiasa kwa mujibu wa upenzi wa mioyo yao, bila kubughudhiwa wala kuzodolewa,
Kwa wana ccm huwa hawaoni lolote pale wanachadema wanapomsifia kiongozi wao,tofauti ambavyo jinsi vile wanachadema wanavyo muona mwana CCM akipambana kiongozi wake huku akiwa amejipamba na vazi lake Zuri la kijani kibichi,
N. B,
TUJIFUNZE KUHESHIMU UTASHI WA WENGINE.
Walijiita wenyewe. Kumbukumbu zipo. Na ni fahari yao kujiita jina lolote. Hawajavunja sheria au kumuudhi mtu. Japo jina Lina sound vibaya.Ipo dhana ambayo imejengwa na baadhi ya wapenzi wa vyama vya siasa, kwa kuwaita machawa, wale wote wanaoonekana kuipenda CCM, kwa mioyo yao.
Watanzania wanauhuru wa kupenda chama chochote cha kisiasa kwa mujibu wa upenzi wa mioyo yao, bila kubughudhiwa wala kuzodolewa,
Kwa wana ccm huwa hawaoni lolote pale wanachadema wanapomsifia kiongozi wao,tofauti ambavyo jinsi vile wanachadema wanavyo muona mwana CCM akipambana kiongozi wake huku akiwa amejipamba na vazi lake Zuri la kijani kibichi,
N. B,
TUJIFUNZE KUHESHIMU UTASHI WA WENGINE.
Tatizo chawa wa chadema wanajumlisha sana hisia kali na hasira wakati hii kitu haitaki hasira.chawa kila sehemu wapo si kijani wala vyama vya upinzani kote wamejaa.