Tujifunze kuimba kwa Lugha zote za Afrika Mashariki ili kuteka soko la Muziki

Tujifunze kuimba kwa Lugha zote za Afrika Mashariki ili kuteka soko la Muziki

Tunaomba tathimini ya wimbo wa konde boy- bedroom imepokelewaje Ug, Ke na etc ili tupate morali!
 
jana kuna taarabu ya kizungu nimeiona status😂
“ooh dont talk about us ooh we love each other you cant separate uuuuussss,oooh you spendi taimu taking asiii”
 
sisi kama mashabiki wako tka kitambo tunapinga vikali kutubadirishie jina letu pendwa #MASQO toka 2003 umepata demu.
#BringBackOurMasqo
#BringBackOurDeo Kisandu

Alianza Kama Puff Daddy akaja akawa Daddy baadae P.diddy na leo anaitwa Diddy.....so Don Nalimison ahead
 
Naam mnyama mwenyewe....Masqo
 
Don himself! 👊




Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Mimi Sasa sio Masqo. Kuna kundi lilitaifisha jina Hilo ndio maana Nika badili jina officially. But thanx.
Saasawa mkuu.

Next time nikikuita hivyo usikwazike, sisi fans wako wa kitambo tulikujua kwa hili jina, kwa kifupi Masqo lime stick kichwani.
 
Back
Top Bottom