Hili nalo neno!🙌Ooh pole jamani....ndo Maisha yalivyo bwana, ebu jiulize kabla haujakutana ulikuwa na furaha na Amani au ulikuwa na maumivu,jibu ulikuwa na furaha na Amani au sio....Sasa iweje huyo mtu umekutana naye ukubwani hlf akufanye ukosefu furaha kabisa.
Nieleweke kwamba,sio kwamba tukiumizwa hatupaswi kuumia laa! Tunaumia lkn je tutaruhusu kukaa na hayo maumivu Kwa Mda gani? Ifikie kipindi tuseme inatosha na tusonge mbele,na unapo ukubali ukweli ndivyo utakavyopata nafuu mapema
Nashkuru kwa kunitia moyo.. nimetafakari .. nimepona sasa.. moyo wangu mweupe sitakaa kuwaza tena. Mungu akubariki kwa kukupa maono haya🙏Yatapita Mda ndio tiba Bora kabisa, na Acha kujiuliza kwanini kanifanyia hivi? Ukishajiuliza hivyo maumivu hayataisha mapema,kubali Tu haikuwa fate yenu kuwa pamoja,fikiria mambo positive juu yako,amini utapata atakaye kuthamini na kukuenzi,jua unastahili kilicho Bora
Pole Sana mkuuKuna kipindi niliamua nisijihusishe na mapenzi niliishi kwa raha na amani sana.Sijui nini kimenirudisha ktķ makitu haya aisee natesekaaa.
Nikijiangalia na fulfill sehemu zote na mtu mwenyewe anakili but vituko,visilani n.k haviishi.
Sasa nikimwambia kila mtu ashike 50 zake hataki.
Me hata kama ni kunikataa anikatae tu nitakubali.
Kweli kabisa mkuu,ni uamuzi wetu kuvuta yenye kutufurahisha au yenye kuumiza,kazi kwetuUkishapevuka tu ukaruhusu kila jambo linaloweza kukuumiza liende basi utaishi kwa amani.
Tujifunze kushukuru ili kuleta mambo mazuri mengine mbele.
💪💪Hili nalo neno!🙌
Asante sanaNashkuru kwa kunitia moyo.. nimetafakari .. nimepona sasa.. moyo wangu mweupe sitakaa kuwaza tena. Mungu akubariki kwa kukupa maono haya🙏
Hakuna kitu kigumu kukipokea kama kukataliwa na Yule unayempenda au unaye tarajia kuwa nae ktk Maisha ya kimapenzi.
Tujue Kwanza kukataliwa ni haki ya yule anayetukataa,ana Uhuru na uamuzi wa kufanya hivyo,kwakuwa naye ana vigezo vyake vinavyo mfanya amchague mtu Fulani,kwahiyo tusipokuwa na vigezo hatuna haki ya kupendwa na mtu huyo,tukubali ukweli na kusonga mbele.
Kukataliwa ni sehemu ya Maisha ya kila siku,wewe sio wa Kwanza kukataliwa,usijione hauna thamani kwakuwa Tu eti umekataliwa,tambua kwamba haujakizi Tu vigezo vya huyo umpendaye lkn haimaanishi kuwa ndiyo hauna thamani laa! Thamani IPO pale pale Ila Tu haujakutana na Yule ambaye anaijua thamani yako,so IPO siku utampata Yule ambaye anaijua thamani yako na mtainjoy mahusiano yenu.
Kukataliwa usikuchukulie upande wa negative Tu bali chukulia upande wa positive pia Kwa faida yako,je unajuaje kama huyo aliye kukataa alikuwa mtu sahihi kwako? Je Una uwakika gani kwamba angekupa furaha ambayo ungeitamani? Kwahiyo kukataliwa wakati mwingine ni faida kwako kuepukana na mtu ambaye angekuwa sababu ya maumivu yako au mateso yako,umekataliwa huenda kuna mtu mwingine ambaye unatakiwa ukutane na ambaye atakuwa ulimwengu wako,atakuwa nuru yako na atakuwa pumziko lako.
Na kitu kingine ambacho watu hawajui ni kuwa,wanaotukataa ndio huenda wamekula hasara! Ndiyo narudia tena wamekula hasara,unajua Kwa nini? Kwasababu wanakosa Yale mazuri ambayo wangepata kutoka kwetu,wanakosa utulivu ambao wangeupata kutoka kwetu na wanakosa MAHABA ambayo wangepata kutoka kwetu,kwahiyo wakati mwingine badala ya kuumia na kukosa Raha inatakiwa tuwaonee huruma Tu.
Ni hayo Tu.
Dah mpe moyo Kaka,anahitaji faraja hasa Kwa nyinyi watu wake wa karibuIla ina uma sana kuna mshikaj wangu yupo kwenye hard time sana now
Kweli ndio sehemu ya Maisha,hakuna ambaye hajaumizwa au atakaye kuja baadae Bila kuumizwa,madam tutadili na mapenz lazima yatukute tuInauma ila itabidi tuzoeee