Hulka au Tabia ni jambo la kawaida kwa mtu, taasisi, watu au nchi. Kila mmoja ana yake.
Tangia kuingia kwa ugonjwa huu March 2020 serikali ya Tanzania imekuwa na kigugumizi chake kuuhusu.
Jana waziri wa afya aliingizana stendi ya Magufuli bila hodi:
Waziri mkuu Majaliwa naye alikuwa kivyake Arusha:
Mwenye macho haambiwi tazama.
Taarifa ndiyo hizo, akili vichwani.
COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express
Penye moshi pana moto.
Tangia kuingia kwa ugonjwa huu March 2020 serikali ya Tanzania imekuwa na kigugumizi chake kuuhusu.
Jana waziri wa afya aliingizana stendi ya Magufuli bila hodi:
Waziri mkuu Majaliwa naye alikuwa kivyake Arusha:
Mwenye macho haambiwi tazama.
Taarifa ndiyo hizo, akili vichwani.
COVID-19: India adds Ghana and Tanzania to list of 'at risk' countries - The Financial Express
Penye moshi pana moto.