Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Tunakwama wapi kuweka tram toka kibaha hadi posta, toka posta hadi gongo la mboto, toka posta hadi bunju n.k?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."Tunakwama wapi kuweka tram toka kibaha hadi posta, toka posta hadi gongo la mboto, toka posta hadi bunju n.k?
View attachment 3051498
he was very much wrong, na yeye mwenyewe anajua kuwa alikuwa wrong."Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."
Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Can you prove him wrong?he was very much wrong, na yeye mwenyewe anajua kuwa alikuwa wrong.
Una utani wa ngumii lo!
Huo ndiyo muarobaini wa tatizo la usafiri Dar. Hata mkinunua mabasi 1,000 bado tatizo litakuwa palepaleTunakwama wapi kuweka tram toka kibaha hadi posta, toka posta hadi gongo la mboto, toka posta hadi bunju n.k?
View attachment 3051498
sasa sijui viongozi wetu nje huwa wanaenda kufanya nini, manake wakienda huko haya yote wanayaona, kwa garama ya hayo mashangingi ukijibana miaka 5 tu, inaweza kutosha pa kuanzia zingine unaanza kujazia taratibu. tunakwama wapi? hatuoni wivu nchi za wenzetu au tunasubiri mzungu aje atujengee? hata mradi wa BRT kama sio majaribio ya world bank kuchagua labda waanzie kwetu, hadi leo hii tungekuwa na daladala za vipanya.Huo ndiyo muarobaini wa tatizo la usafiri Dar. Hata mkinunua mabasi 1,000 bado tatizo litakuwa palepale
Ningesema ligi zetu ni burundi na Rwanda lakini nao burundi na rwanda wako ulaya kitambo, wako amerika kitambo, yaan exposure ya kidunia mrundi na mnyarwanda wamemuacha mbongo Kwa mbali sana,Nyie mnachojuwa ni kucheza comasava tu
Ova
tatizo rangi hii babaTunakwama wapi kuweka tram toka kibaha hadi posta, toka posta hadi gongo la mboto, toka posta hadi bunju n.k?
View attachment 3051498
wala sio rangi, ni rushwa. kama rangi sasaivi yemen wangekuwa ulaya.tatizo rangi hii baba
ulinganyo wako hauko sahihi. sie karibu 99% ni shida. hao yemen ni sehemu tu ndogo tuseme 1/10. sie 99/100 ni majanga. hao 1 waliofanikiwa ukitazama ni mseto na wasio weusi (Mauritius, SA, Seychelles, Botsw)wala sio rangi, ni rushwa. kama rangi sasaivi yemen wangekuwa ulaya.
botswana kuna wazungu? kwahiyo tukimpa Zungu yule wa ilala, tumpe MO, au tumpe mhindi yeyote hapa bongo atuongoze, tutafika haraka?ulinganyo wako hauko sahihi. sie karibu 99% ni shida. hao yemen ni sehemu tu ndogo tuseme 1/10. sie 99/100 ni majanga. hao 1 waliofanikiwa ukitazama ni mseto na wasio weusi (Mauritius, SA, Seychelles, Botsw)
kama hujaelewa nikufafanulie.