Mkuu, wengine mtawaua tu. Hivi kweli umwamvie mkurya atumie 'L' badala ya 'R' utamweza kweli? Au ukimwambia msukuma atumie 'R' badala ya 'L' si ni kumtafuta lawama tu? Hizo herufi hazimo kwenye lugha zao za asili, sasa waje wazipatie huku ukubwani, wataweza kweli? Tutapiga, tuue, mpaka tugalagaze, lakini sidhani Kama tutaweza kuwabadilisha.