Tujifunze: Mtu mmoja huko Marekani ameokolewa kutoka kwenye kifusi Baada ya Jengo refu lililokuwa linajengwa kudondoka na kifusi kumfunika

Tujifunze: Mtu mmoja huko Marekani ameokolewa kutoka kwenye kifusi Baada ya Jengo refu lililokuwa linajengwa kudondoka na kifusi kumfunika

IamMrLiverpool

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
4,362
Reaction score
6,274
Kutoka Louisville Kentucky nchini. Marekani siku ya jana haikuwa siku nzuri kwa wananchi wa Kentucky baada ya moja ya jengo lililokuwa linajengwa kuporomoka Katikati ya ujenzi.

Kuporomoka huko kuli pelekea mtu mmoja ambaye ni constructor(fundi ujenzi) kufunikwa na kifusi takribani futi 12 kwenda chini. Timu ya uokozi ilifika wakati huo huo na kuanza juhudi za kumuokoa mwenzao, ambacho cha kwanza walichofanya ni kutengeneza mazingira ili yule ndugu aendelee kupumua akiwa huko chini. Masaa 8 baadae timu ya uokoaji ikafanikiwa kumtoa akiwa mzima japo alikuwa na maumivu makali ya viungo.
Mambo ya kujifunza.

1) Baada ya tukio kutokea immediately, Fire team walifika, jamani Kwenye majanga tupeleke timu ya waokoaji badala ya kupeleka wana siasa kwanza. Kentucky kuna meya wa mji na wana siasa wengi tu lakini kwakuwa sio kazi yao kuokoa wala hawa kuwa frontrunners.

2) Kuthamini uhai wa mtu hata kama ni mmoja. Pale Kentucky zimeshushwa magreda, timu ya uokozi karibu 100, na resources nyingine kibao kwa ajili ya kumuokoa binadamu mmoja tu.

3) Kujipanga kwa hali ya juu. Ni kawaida kwa wenzetu kwenye matukio kama haya ambayo yana athiri afya zetu za akili kupatiwa msaada. Baada ya tukio la uokozi yule Bwana yupo hospitali na moja ya huduma anayopewa ni Mental Therapy ili kumuweka sawa kisaikolojia. Sisi unatoka hospitali unaenda Nyumbani utajijua mwenyewe.

Bado tuna safari ndefu sana lakini tuendelee kujifunza kutoka kwa wenzetu.
 

Attachments

  • fire_rescue_ky_1114.jpeg
    fire_rescue_ky_1114.jpeg
    253.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241117_043721_Chrome (1).jpg
    Screenshot_20241117_043721_Chrome (1).jpg
    129.5 KB · Views: 4
  • fire_rescue_ky_1114.jpeg
    fire_rescue_ky_1114.jpeg
    253.6 KB · Views: 5
Majanga Tz yashatokea mengi sana na kama kujifunza tulipaswa kuwa tumeshajifunza kitambo. The worst thing in Tz ni siasa maji chafu + uoga wa wananchi kufanya mabadiriko full stop
 
Kutoka Louisville Kentucky nchini. Marekani siku ya jana haikuwa siku nzuri kwa wananchi wa Kentucky baada ya moja ya jengo lililokuwa linajengwa kuporomoka Katikati ya ujenzi.

Kuporomoka huko kuli pelekea mtu mmoja ambaye ni constructor(fundi ujenzi) kufunikwa na kifusi takribani futi 12 kwenda chini. Timu ya uokozi ilifika wakati huo huo na kuanza juhudi za kumuokoa mwenzao, ambacho cha kwanza walichofanya ni kutengeneza mazingira ili yule ndugu aendelee kupumua akiwa huko chini. Masaa 8 baadae timu ya uokoaji ikafanikiwa kumtoa akiwa mzima japo alikuwa na maumivu makali ya viungo.
Mambo ya kujifunza.

1) Baada ya tukio kutokea immediately, Fire team walifika, jamani Kwenye majanga tupeleke timu ya waokoaji badala ya kupeleka wana siasa kwanza. Kentucky kuna meya wa mji na wana siasa wengi tu lakini kwakuwa sio kazi yao kuokoa wala hawa kuwa frontrunners.

2) Kuthamini uhai wa mtu hata kama ni mmoja. Pale Kentucky zimeshushwa magreda, timu ya uokozi karibu 100, na resources nyingine kibao kwa ajili ya kumuokoa binadamu mmoja tu.

3) Kujipanga kwa hali ya juu. Ni kawaida kwa wenzetu kwenye matukio kama haya ambayo yana athiri afya zetu za akili kupatiwa msaada. Baada ya tukio la uokozi yule Bwana yupo hospitali na moja ya huduma anayopewa ni Mental Therapy ili kumuweka sawa kisaikolojia. Sisi unatoka hospitali unaenda Nyumbani utajijua mwenyewe.

Bado tuna safari ndefu sana lakini tuendelee kujifunza kutoka kwa wenzetu.
Kwani alikuwa wa chama gani na ndugu wa nani.
 
Tanzania ni mwendawazimu.Kila kitu Kiko nyuma.ile timu yauokoaji katika majanga hamna kitu.waziri mkuu hakikuwa na haja ya kwenda maana waokoani ilibidi waitishe uokoaji ili kusikiliza yeye Kwa zaidi ya nusu saa nzima wakati watu wanazidi kuumia
 
Nadhani Marekani ndio wajifunze kwetu. Wao wameokoa mtu mmoja, sisi tumeokoa watu 64 hadi muda huu ninapoandika
 
Back
Top Bottom