Tujifunze nini kutoka wa Wachaga?

Hawa watu ni watafutaji hadi raha..ila kinachoniuma mimi nina wifi yangu mchaga kaolewa na kaka angu ana mawe sana cha kushangaza wifi hataki kufanya biashara yoyote kila atakachofunguliwa anakula mtaji..aliletewa nusu kontena la mikoba ya kike anaibeba mwenyewe mingine kaigawa..yani hadi namshangaa kwakweli..hana akili ya maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…