una uhakika?Kuna mahali hakuna wachagga? Nenda hata Msumbiji walikokataliwa na marehemu Samora Machel utawakuta wamejaa tele... nenda Sumbawanga -Nkasi ..nenda Chunya utawakuta... wao riziki ni popote.tujifunze kutoishi mbali na kwetu,ili iwe rahisi kurudi kutembea na kusalimia.
wachaga hawaendi mikoa ya mbali na moshi huwa wapo jirani kama dar ambako nauli ya chini inaanzia elfu 15 au 20.huwezi kukuta mchaga anaishi bukoba,kigoma au tabora akaenda uchagani kila mwisho wa mwaka.na ni wachache wanaoishi huko.
una uhakika?Kuna mahali hakuna wachagga? Nenda hata Msumbiji walikokataliwa na marehemu Samora Machel utawakuta wamejaa tele... nenda Sumbawanga -Nkasi ..nenda Chunya utawakuta... wao riziki ni popote.
Hiyo chibuku ya wari natamani ningekua napewa mimi!Asante kwa picha!
Aaaah! Wapi! Mbona kijiji cha Korotambe hawapo na wala wala hawawezi kukanyaga.Sijawahi kwenda kijiji nisikute mchaga kama anabisha na hilo ataje hichokijiji twende tukaulizie .....
Aaaah! Wapi! Mbona kijiji cha Korotambe hawapo na wala wala hawawezi kukanyaga.
Kweli mchagga anajua afanyalo....anatafuta mwaka mzima ten anatenga muda wakwenda kufurahi pamoja na nduguzake...kitu cha ndafu ichooooo
Hiyo chibuku ya wari natamani ningekua napewa mimi!Asante kwa picha!
Kutambika kunamaana nyingi.But wachagga wanaenda kutumia na familia zao, ukoo wao kile walichokichuma mjini.Bible say: Utachumia ugenini utalia nyumbani,Pia Mithali imesisitiza umuhimu wa kurudi na kukaa katika ardhi ya mababu kani huko ndiko baraka ziliko na katika udongo wa ardhi ya babu zenu ndiko baraka itakapoandikwa kwa wale wakristo mnaweza soma biblia kitabu cha mithali utakuta mambo mengi ambayo wachaga wanayazingatia...na ukifuatilia mahubiri ya Mwakasege utaona jinsi gani amewazungumzia wachaga kuhusu ardhi na uzao wa kwanza.
MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU WACHAGA
-Hawauzi ardhi ya urithi ni mwiko kufanya ivyo tapoteza utajiri na baraka zote
-Hautakiwi kuwa nje ya ukoo na unashiriki kikamilifu shughuli za ukoo hata kama unakaa mjini.
-Mgeni hapewi jina la ukoo pindi anapoomba kuwa mwana ukoo, kwani kufanya hivyo ni sawa kuuza thamani ya wazawa wakwanza
-Unapomaliza std 7 unaanza kujitegemea kuanzaia malazi na makazi
-Usipo jenga nyumba yako pindi unapofariki au mtoto wako anapofariki utazikwa ktk shamba lako hata kama ni pori na maiti haitaingia katika nyumba ya mtu mwingine hata kama ni kaka yako au mwanao isipokuwa yule ambae hajawa na familia bado.
-kama mzazi hana shamba au mali nyingi za urith mtoto wa mwisho wa kiume ndiye atakae rithi mali zilizopo na atapewa jukumu la kuwaangalia wazee nyie wengine mtaenda kujitafutia chenu na familia zenu. Mtasaidia wazee pale inapolazimu na kama shukrani kwa mzazi lakini yule mdogo ndiye mwangalizi wa wazazi kwa asilimia kubwa labda tu awe mzembe.
-Hutakiwi kuogopa kuishi katika mazingira tofauti ivyo lazima utoke siokukaa kijijini,ila sharti mwezi wa kumi na mbili urudi ukakutane na ndugu zako mjadiliane na kushukuru pamoja
-MWEZI WA KUMI NA MBILI NI MWEZI WA KWENDA KUTOA MICHANGO MBALIMBALI KANISANI NA KWENYE UKOO
-
-
Kwa ushauri wangu, usijifunze toka kwa wachaga in general, utapotea!!!
Iga tabia ulizoona nzuri kutoka kwa watu unaokutana nao WEWE, achana na sifa na maneno ya magazeti, mengi ni uzushi tu.
Ila kama una mtu unayemjua jifunze kwa kumuuliza alianzia wapi, anafanyaje, ana sacrifice nini, uangalie kama kuna relationship na jinsi maisha yako yalivyo sasa.
Mfano,
-kwenda Kwao mwisho wa mwaka- je umeacha ndugu muhimu kwenu, kama hakuna sasa utaenda kufanya nini? wengine wamezaliwa mijini toka enzi na enzi.
Kuna mila fulani kwetu inayokataza mtu kuchinja bila kaka zake kuwapo, hii mwanzo ilikuwa ni kwa matambiko, ila kwa sasa naona wanataka kuhakikisha kila mtu anakuwapo, muda mzuri ni Xmas, hata kama huchinji kwa kuwa huna sababu mfano kupata mtoto, labda kipaimara au kupeleka mke au kumbukumbu ya harusi, basi lazima ufanye heshima yakwenda kwenye shughuli ya kaka zako.
In short ni kama lazima fulani hivi au uwe mbishi tu, au uwe na dharau kwa ndugu zako au uwe na sababu ya kazi au kipato. Wengine hawapendi ila wanalazimika kwa ajili ya kuheshimu ndugu zao tu.
mchezo mchafu sana pale unachezekaga, ticket zinanunuliwa na mtu mmoja kwa bei ya kawaida then yeye anaanza kuuza kwa bei yake anayoitaka, mie wananiudhi kweli, ukienda oficin gari imeaja, kwenye gari ticket zinauzwa!!!!Kwenda moshi ni sawa lakini kupandisha nauli holela si sawa, na kukubali nauli hizo kupandishwa hovyo kisa mmevuna sana huku dar ni makosa lazima muende moshi kwa kiwango kilekile kilichowekwa na mamlaka husika...kwasababu mnakuwa na shauku ya kuhesabiwa mpaka ukitajiwa elfu 40 au 50 mnalipa...aisee babaangu nitalipa we nipe tu hiyo tiketi msee....