Tujikomboe

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
82
Nimekuwa mfuatiliaji kwa muda mrefu kuhusu katabia ambako kanakonyweshwa na akina dada ,wanawake wengi ambao hawapendi kuchangia gharama za matumizi.mkiamua kutumia ,kutanua,kujifurahisha ,vinywaji ,chakula,kulala,kusafiri,kujirusha nk.eti utakuta mekunywa,mmekula,mmepumzika kwa raha zenu ,mmekodi usafiri lakini mwanamke hachangii chochote ,tena anataka naye apate chochote(mgao),je sisi wanaume kwanini tujirahisishe kiasi hiki ?kwani wao akinadada hawahitaji kama wanaume? Au ni wanaume tu hujisikia?huo usawa uko wapi?kwanini hawapendi nao kujitoa?huu ni uungwana?
 
mi pia huwa wananikwaza sana,sijui wakoje vile. kwanza kuna vitu huwahawavizoe hata kama anavyo au kwao vipo. kwanza chips kuku na usafiri (gari)..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…