Sio kill boy ni Kid bway kamtaja kwenye list yupo namba 6 afu pia namba 37 kamtaja Juma balagazaMkuu sijaona JB Juma balagaza ilA umejitahidi sana afu kulikua na mmoja jina la Baba yake alikua anaitwa mfinanga(ke) na mwingine K2 the B Kill boy Salumu sandu
Glory Robinson mtoto hatari huyu...Mimi namkumbuka Glory Robinson mtoto wa mama sabuni sauti yake ilikuwa inanikosha hatari
We hulali au uko chinaGlory Robinson mtoto hatari huyu...
soggy doggy fani kitambo kumbe...Hapo sijaelewa kwani sogy dogy na anzleim ngaiza wapo tofauti si huyohuyo mtu mmoja
[emoji3] [emoji3] [emoji3]We hulali au uko china
Aisee umetshaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Aisee umetshaaa[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Alifariki
Alikuwa na jina refu sana!Nimelisahau ambapo alimalizia na ..Mohiri ObareeAu simu ya Muhily Obare utacheka naaaaaaaaaaaaaam Niko Igoma maeneno ya watu wazito
Joyce Mfinanga Basie yupo Sahara media anaripoti kutokea DodomaMkuu sijaona JB Juma balagaza ilA umejitahidi sana afu kulikua na mmoja jina la Baba yake alikua anaitwa mfinanga(ke) na mwingine K2 the B Kill boy Salumu sandu
AminHivi hii Redio itapata mtangazaji kama Ntonto, volt600,000, zuberi Msabaha?
R.I.P kaka Mungu akulaze mahali Pema binguni.
Hawezi kumfikia mkuu, huyu alikua ana rafudhi yake kama mkongo kabisa nand nahis alikua mkongoKwani prince Baina Kamuluku vp?
Na vp FreduwaaHawezi kumfikia mkuu, huyu alikua ana rafudhi yake kama mkongo kabisa nand nahis alikua mkongo
kidboy Na Skywalker ni watu wawili tofautiVp na Kidboy aka Skywalker?