Tujikumbushe hawa watangazaji wa redio free RFA

Binafsi baada ya kusambaratika watangazaji RFA ndo imekua km nimetolewa mood ya kusikiliza radio coz jamaa walikamilika kila idara Na ilikuwa nikichepuka station basi kidogo ilikuwa kwa radio one kusikiliza Radha kumi za bongo na Abdallah mwaipaya (kwa fujo djz) ila permanet ilikuwa ni rfa ila ss Duh station nyiiiingi km si zote ni kuigana pasina ubunifu upya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…