Tujikumbushe historia: Leo Wilbrod Slaa anataka atetewe, aonewe huruma? All in all, dhamana ni haki yake

Tujikumbushe historia: Leo Wilbrod Slaa anataka atetewe, aonewe huruma? All in all, dhamana ni haki yake

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Anaandika Lieratus Mwangombe
Yesterday, the High Court ordered the Kisutu Court to hear and process Amb. Dr. Slaa's bond today. Shockingly, President Samia's Govt has maliciously failed to bring Dr. Slaa to court, citing a vehicle breakdown as an excuse. Dr. Slaa has been detained for over 20 days

NTOBI ANAJIBU AS HERE UNDER

1738370491136.jpeg
 
Msaliti, alisema iachiwe mahakama iamue kama MBowe ni gaidi. Leo aseme , arudie kuwa iachiwe mahakama iamue fate yake. Arudie maneno yale yale!
JE KESI YAKE HAISTAHILI ZAMANA? ndyo mahakama iamue anahatia au lakini zamana na haki yake🙂
 
Huyu Mzee alidhani Magufuli ndiye Mungu wake kiburi na kukengeuka kukamjaa. Hakujua what goes around comes around. Sasa naye Yuko korokoroni.
 
Wafuasi wa Mbowe kubalini uenyekiti keshaupoteza na zama zake zimekwisha so acheni kumalizia hasira zeni kwa Slaa
 
Anaandika Lieratus Mwangombe
Yesterday, the High Court ordered the Kisutu Court to hear and process Amb. Dr. Slaa's bond today. Shockingly, President Samia's Govt has maliciously failed to bring Dr. Slaa to court, citing a vehicle breakdown as an excuse. Dr. Slaa has been detained for over 20 days

NTOBI ANAJIBU AS HERE UNDER

View attachment 3220609
Hata sasa hivi ingeachiwa mahakama iamue Dr.Slaa apewe dhamana au aachiliwe huru.

Kwa nini Samia anaingilia uhuru wa mahakama kumkandamiza Dr.Slaa kama alivyoingilia uhuru wa mahakama wakati wa kesi ya mbowe ?
 
Wafuasi wa Mbowe kubalini uenyekiti keshaupoteza na zama zake zimekwisha so acheni kumalizia hasira zeni kwa Slaa
Wewe ni nani kuwafunga midomo? Acheni mahakama ifanye kazi yake. Mnaendekeza siasa kwenda mahakamani (in Dr. Slaa's Voice)
 
Hata sasa hivi ingeachiwa mahakama iamue Dr.Slaa apewe dhamana au aachiliwe huru.

Kwa nini Samia anaingilia uhuru wa mahakama kumkandamiza Dr.Slaa kama alivyoingilia uhuru wa mahakama wakati wa kesi ya mbowe ?
Unaushahidi? Acha siasa kijana. Mahakama itatoa uamuzi wakati unaofaa.
 
Mbowe anaweza kua Gaid kweli,sababu kesi yake haikuisha bali Aliingia makubaliano na Ikulu….Akaachiwa ili auze Chama kwa mboga mboga….But dhamana kwa Balozi ni haki yake sio Ombi.
 
Msaliti, alisema iachiwe mahakama iamue kama MBowe ni gaidi. Leo aseme , arudie kuwa iachiwe mahakama iamue fate yake. Arudie maneno yale yale!
Mbona Mahakama haikuachiwa kuamua

Uachage ututusa Wewe

Mahakama ndio ingemsafisha Mbowe lakini Hivi Sasa Mbowe ataendelea kuonekana ni GAIDI

Slaa alitumia Akili kubwa 🐼
 
JE KESI YAKE HAISTAHILI ZAMANA? ndyo mahakama iamue anahatia au lakini zamana na haki yake🙂
Wewe nimrundi?dhamana unaandika zamana
Wacha akaendani akitoka akute mkewe katoroshwa na wahuni
Mbowe sio gaidi
 
The most uncertain thing in life is tomorrow. Therefore, before you do or say anything, think first about tomorrow.
 
Wewe nimrundi?dhamana unaandika zamana
Wacha akaendani akitoka akute mkewe katoroshwa na wahuni
Mbowe sio gaidi
MBOWE NI GAIDI.NDYO MANA KAFUTIWA KESI NA SAMIA.ANGEKUBALI MAHAKAMA IMSAFISHE.DR SLAA ALIJUA HILO
 
Hakika.
Dr. Slaa alipolishwa chakula cha kijani na kuvimbiwa aliona upinzani ni uchafu, akafurahia au kukaa kimya kuona wapinzani wakiuwawa, wakipigwa na kuteswa. Hakujua kuwa CCM ni shetani, hana urafiki wa kudumu.
 
Back
Top Bottom