Msaliti, alisema iachiwe mahakama iamue kama MBowe ni gaidi. Leo aseme , arudie kuwa iachiwe mahakama iamue fate yake. Arudie maneno yale yale!Umeamka na Dr Slaa.
JE KESI YAKE HAISTAHILI ZAMANA? ndyo mahakama iamue anahatia au lakini zamana na haki yake🙂Msaliti, alisema iachiwe mahakama iamue kama MBowe ni gaidi. Leo aseme , arudie kuwa iachiwe mahakama iamue fate yake. Arudie maneno yale yale!
Hata sasa hivi ingeachiwa mahakama iamue Dr.Slaa apewe dhamana au aachiliwe huru.Anaandika Lieratus Mwangombe
Yesterday, the High Court ordered the Kisutu Court to hear and process Amb. Dr. Slaa's bond today. Shockingly, President Samia's Govt has maliciously failed to bring Dr. Slaa to court, citing a vehicle breakdown as an excuse. Dr. Slaa has been detained for over 20 days
NTOBI ANAJIBU AS HERE UNDER
View attachment 3220609
Wewe ni nani kuwafunga midomo? Acheni mahakama ifanye kazi yake. Mnaendekeza siasa kwenda mahakamani (in Dr. Slaa's Voice)Wafuasi wa Mbowe kubalini uenyekiti keshaupoteza na zama zake zimekwisha so acheni kumalizia hasira zeni kwa Slaa
Unaushahidi? Acha siasa kijana. Mahakama itatoa uamuzi wakati unaofaa.Hata sasa hivi ingeachiwa mahakama iamue Dr.Slaa apewe dhamana au aachiliwe huru.
Kwa nini Samia anaingilia uhuru wa mahakama kumkandamiza Dr.Slaa kama alivyoingilia uhuru wa mahakama wakati wa kesi ya mbowe ?
Sio mbowe. Hata alisema Lissu kajipiga risasiUmeamka na Dr Slaa.
Yaonekana Dr aliuziwa sana na Mbowe.
All in all asamehewe tu.
Mbona Mahakama haikuachiwa kuamuaMsaliti, alisema iachiwe mahakama iamue kama MBowe ni gaidi. Leo aseme , arudie kuwa iachiwe mahakama iamue fate yake. Arudie maneno yale yale!
Wewe nimrundi?dhamana unaandika zamanaJE KESI YAKE HAISTAHILI ZAMANA? ndyo mahakama iamue anahatia au lakini zamana na haki yake🙂
Ulitaka alipize nini?Wewe utakuwa unalipiza ubaya Kwa ubaya
Kwa jinsi mambo yalivyokwenda huenda Slaa alikuwa sahihiUmeamka na Dr Slaa.
Yaonekana Dr aliuziwa sana na Mbowe.
All in all asamehewe tu.
MBOWE NI GAIDI.NDYO MANA KAFUTIWA KESI NA SAMIA.ANGEKUBALI MAHAKAMA IMSAFISHE.DR SLAA ALIJUA HILOWewe nimrundi?dhamana unaandika zamana
Wacha akaendani akitoka akute mkewe katoroshwa na wahuni
Mbowe sio gaidi