IKUNGURU IJIRU CHUKU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 484
- 545
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haya matapeli yamekula nchi balaaView attachment 2176146NINAMKUMBUKA SWAHIBA YANGU
Hivi kuwa TISS bongo ni big deal? mtaani watu wanapenda kujiita TISS sijui kuna faida gani?Pinda sio mtu mbaya kama wengi wanavyodhani kwanza ni mnyenyekevu sana pamoja na kuwa ni jasusi kamili lililokubuhu hata membe hatii mguu
Aliyepo ni balaa tupu hakuna kitu anafanyaMzee Pinda hakuwa fake... hakubembeleza (SSH) asingeweza kufanya nae kazi. Nawaza kwa style hii, hii combination ingekutana na JPM tungeelewana sana.
Ila kwa wakati wake ilikuwa lazima awepo mmoja wa aina yake wakati ule mkwele ilikuwa ni kupishana Airport na kuchekacheka tu hata kwenye mambo ya msingi. Watu wa Pwani huwa ni changamoto sana kupata matokeo makubwa kwa haraka. Full kubembelezana.
Wakati ule Mtwara hapakukalika watu wanaleta mgomo kwenye ujenzi wa bomba la gesi... walikula kichapa cha mbwa mwizi wakatulia wangechekewa kazi isinge isha.
Wakati ule JPM alimpush sana kukimbizana kila kona walau tulimuona... siku hizi bi tozo yuko busy kumnanga JPM kwa uoga wake ambao anataka wote tuushiriki... anasahau hata kuna waziri mkuu.Aliyepo ni balaa tupu hakuna kitu anafanya
Wapitie upya vigezo vya kumpata huyu mtuWakati ule JPM alimpush sana kukimbizana kila kona walau tulimuona... siku hizi bi tozo yuko busy kumnanga JPM kwa uoga wake ambao anataka wote tuushiriki... anasahau hata kuna waziri mkuu.
Kuna watu wanatamani tu ule unadhifu waoHivi kuwa TISS bongo ni big deal? mtaani watu wanapenda kujiita TISS sijui kuna faida gani?