Tujikumbushe : Jaji Warioba alivyomueleza Profesa Shivji waziwazi kuwa si mkweli na ni kugeugeu na mpotoshaji

Mwendawazimu peke yake ndiye hawezi kuona umhimu wa katiba mpya, watu kama akina shivj na kabudi niwa kupuuzwa Sana.
Mateso ya jasho na damu tuliyo pitia awamu ya tano ni kipimo tosha kuwa tuna ulazima wa katiba mpya kwa mstakabali wa Tanzania yetu

Mateso gani mkuu. Wewe na Nani? Ni Wale kumi waliofanya sherehe au mamilioni waliolia na kusaga meno?
 
Linapokuja swala la Muungano basi inshu ya katiba mpya inakuwa ngumu sana.kwa iyo ni bora wanasiasa wetu waachane na hii inshu ya Muungano.
 
Na huo ndio ukawa mwanzo wa kunyanyuka kwa Bashite, kuwa mkuu wa wilaya!

Dunia ina mambo kweli!

Msidanganyike, Bashite alitumwa na genge la Kikwete na Samuel Sitta kumvuruga jaji Warioba!! Laana hiyo haitamuacha salama mpaka kaburini!!!
Baada ya Sitta kufa nae Bashite akamgeuka Kikwete kwa kumuorodhesha mwanae kama muuza Ngada!!!!
 
Tusimlaumu Prof shvji Labda uzee nao unachangia......

Sidhani kama ni uzee bali huyo mzee anatumika. Nakumbuka wakati wa mchakato wa katiba mpya 2012-2015 kuna wakati Prof. Shivji aliandaliwa vipindi kwenye redio na TV na serikali, mada alizokuwa anaziendesha zilikuwa na mwenendo wa upotoshaji kuonyesha katiba mpya sio muhimu, bali iliyopo ni ya kupigwa viraka tu. Vipindi hivi vilienda tofauti kabisa na misimamo yake ya awali ya katiba mpya ya wananchi, na kuacha mshangao kwa wengi waliokuwa na imani kwake. Walichofanya serikali ya JK wakati huo ni kumtumia yeye kufifisha suala la katiba mpya, kwani yeye ni mmoja ya watu walioaminika na watanzania kuhusu mchakato huo. Walichofanya system iliyokuwa chini ya JK ni kile waswahili wasemacho "mchawi mpe mwana amlee" Na kwa kiwango fulani walifanikiwa. Na isingekuwa kuwa hitaji la hii katiba mpya ni la wakati, basi wangeweza kubadili kabisa mitazamo ya wananchi walio wengi.
 
Shivji ni miongoni mwa wazee wanailipwa kwa minajiri ya kuendeleza usaliti ktk taifa hili. Group lake na wengine kazi zao ni kupinga misingi ya maendeleo kwa kufeva mabwana zao. Wanatumia umaarufu wao ku whitewash uozo wa serikali na chama.
 
Huo ndio ukweli japo unakera. Nenda hata kwenye jamii ya Kiasia ukweli huu utauona. Mfano mrahisi kama utakuwa huongozwi na unafiki, waasia wanazaliwa na kukulia hapa hapa nchini, umeona wakioona na wabantu? Unadhani jambo hilo ni bahati mbaya?
Kweli. Hata wale waliopo tangu kabla ya uhuru huoni wakufanya hivyo. Wahindi jamani khaa! wanashindwa na wazungu
 
Kabudi anatetea meza kulingana na sahani yake ya chakula iko meza gani kwa wakati huo. .

Alipokuwa mjumbe wa tume ya katiba alikuwa anatetea katiba kwa nguvu. Leo ni waziri wa katiba na sheria anaipinga katiba.

Huyu ni mnafiki, siyo mtu wa kumchukulia serious.

Ni wa kupuuzwa
 
Kweli. Hata wale waliopo tangu kabla ya uhuru huoni wakufanya hivyo. Wahindi jamani khaa! wanashindwa na wazungu

Kabisa, tena wangalau wanaume wao huweza kuzaa na wanawake wa kibantu na sio kwa mapenzi au ndoa, bali bahati mbaya kutokana na hamu za mwili. Lakini hakuna uwezekano binti wa Kiasia kuzaa na mbantu, hilo halipo kabisa. Wazungu hawana tatizo bali huzaa na yoyote.
 
Hawa wanazuoni waliotoka pale UDSM wametuharibia taswira nzima ya usomi; Mwakyembe, Shivji, Bashiru, Kitila, Kabudi, Uforo nk.
Kuna haja ya kuja kugeuza makaburi yao kuwa sehemu ya watu kwenda kujisaidia haja ndogo.
 
Kosa linakuja kwa wasomi wetu kuwa wanasiasa.hapa ndipo wanashindwa kutofautisha siasa na usomi
 
Tatizo ni kuwa tumeandaliwa hivi karibuni kutukana tusiopenda mawazo yao badala ya kuyaheshimu lakini tukajenga hoja bila kuchoka kuwapinga kistaarabu. Na sisi tunaoitaka katiba mpya tunachelewa kwa kutukana wapinzani wetu badala ya kumwaga hoja popote ili hoja zetu zitawale hadi watawala wazichukue. Kwangu mimi kwa ufupi sana mada muhimu ni mbili. Kubwa kabisa ni kuwa na katiba mpya. Inayofuata ni madaraka ya serikali ya muungano na vishawishi kwa serikali zingine yanayohakikisha kutovunjika kwa muungano. Mjadala wa serikali mbili au tatu haulingani na hayo mawili kwa umuhimu. Akina Warioba walifanya kazi nzuri, lakini waliiharibu kwa kuifanya serikali ya tatu, yaani ya muungano, kuwa dhaifu sana kwenye rasimu yao. Hilo tu. Katiba ya sasa ni mbaya sana kwa jambo lililo wazi, ni ya madikteta! Tuwashukuru viongozi wa awamu nne za kwanza kuwa walituhurumia huku wakiwa na mfumo wa kidikiteta. Sasa tumeshajua ubaya wa kutegemea huruma ya kiongozi. Tutengeneze katiba isiyo na udikiteta!
 
Shivji ni miongoni mwa wazee wanailipwa kwa minajiri ya kuendeleza usaliti ktk taifa hili. Group lake na wengine kazi zao ni kupinga misingi ya maendeleo kwa kufeva mabwana zao. Wanatumia umaarufu wao ku whitewash uozo wa serikali na chama.
asanteni kwa kumuanika hadharani
 
Wasomi wetu ndiyo maana huko bungeni wanadharauliwa.
Hii ni kutokana na kuwa vinyongavinyonga wasiojisimamia
 
Nooooooo
!Usianzishe hayo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…