Tujikumbushe kauli ya Rage

Itabadilisha fact kuwa wewe ni mbumbumbu ?
Huwezi kubadili fact wewe ni uneducated nyani mbwa unabweka bweka hovyo
Mkalia mwiko nyuma daima mbele
 
Achana na hayo , hebu UTOPOLO tuamboeni imekuaje had leo hamjui tofauti kati ya CAFCC&CAFCL mna nn lakn[emoji1787]
Sisi hatuongei na wachawi
 
Huwezi kubadili fact wewe ni uneducated nyani mbwa unabweka bweka hovyo
Mkalia mwiko nyuma daima mbele
Mimi Azam hao sihusiki nao subiri wenyewe wakujibu ila anachukia sana mnavyoitwa mbumbumbu na hilo jina likitrend sana kwenu kuliko wao Mbwa na manyani kama unabisha muulize mtu yeyote njiani au jirani yako kuwa unamjua mbumbumbu ? lazima atakunyooshea kidole wewe kumaanisha wana Simba..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Haliwezi kutrend kuliko UTOPOLO
 
Hizo shida zako haitobadilisha kuwa wewe uto leo kesho na milele
Toa kwanza huo mwiko huko nyuma unakuchanganya mpaka umeahamia azam
Wewe ni mbumbumbu permanently
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…