1)¡. Kifaa kinachotumika kwa kukunia nazi.
¡¡. Pia mbuzi mnyama.
2) ¡. Kugawa/kuchanganua vitu vilivyopamoja na kuvifanya zaidi ya sehemu moja.
¡¡. Kifaa kinachotumika kwa kuwekea vitu na sifa yake kubwa inakuwa na matundu kutokana na utengenezwaji wake.
Zipo zaidi.
3.¡. Kitendo mfano kaa kitako/chini.
¡¡. Pia ni aina fulani ya kitoweo kinachopatikana baharini anaejulikana kwa jina hilo lá kaa.
4.¡. Ni kifaa kinachotumika kwa ajili ya upatikanaji WA mwanga mfano balbu,kandili n.k.
¡¡. Pia ni jamii ya samaki anaepatikan baharini.
Nimejaribu ikiwa kunamakoseo naomba kukosolewa ili nijifunze zaiid.