Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwezi kujikumbushia mambo mengine ya msingi
Wakituziba midomo kuongea basi hata mawe yataongea juu ya huu unyamaHaki huinua taifa, bali dhambi ni aibu kwa watu wote. Mith 14:34.
~Hizi damu za watu zinazomwagika kila uchao, yamkini ni laana ya damu zilizomwagika bila huruma zikidai kisasi. Ona majanga kila kona, taifa hili linapita kipindi kigumu sana ni Mungu tu atusaidie na kuturehemu.
Mengine siyo lazima ujibu.Kutoandika kitu ingekuacha safi kabisa.Yani tujikumbushe alivyokufa au? Mbowe anasemaje kwani
Unavyofikiri weye kula ugali wa sembe na kuvimbiwa ndiyo umeiweza dunia?Hatuwezi kujikumbushia mambo mengine ya msingi
Atese watu gani huyo?Utamkuta tu kajilaza ghetto hajui asubuhi itakuwaje.Hao ndiyo watu walikuwa wanatesa watu
Hakika mkuu, nipe dili nitoke hapa ghetto aiseeAtese watu gani huyo?Utamkuta tu kajilaza ghetto hajui asubuhi itakuwaje.
Njoo tuokote makopo na maplastiki tukauze mambelembele huko.Amka,kitanda ni jeneza!Hakika mkuu, nipe dili nitoke hapa ghetto aisee