Tujikumbushe maafa/matokeo ya kidato cha nne 2010,kabla ya haya mnayoyalila ya 2011.

Vitendo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
582
Reaction score
103
MAAFA YA KIDATO CHA NNE 2010

DARAJA WANAFUNZI
I 5363
II 9942
III 25083
IV 136,633
0 174,193


hivyo ndiyo hali halisi ya jinsi ya matokeo ya kidato cha nne mwaka 2010,
Ila hayo ndo maafa yaliyotukumba Tanzania kama Taifa,maana huu ni msiba wa kitaifa na ni janga kwa
Nchi yetu kutoa 0(division Zero) 174,193 ndani ya mwaka mmoja.
Wadau wanao husika na sekta hii muhimu wito kwenu tufanye kazi kwa bidii kuonoda aibu hii.
Napenda kuwasilisha.
 
safari hii maafa ni makubwa zaidi, yameongezeka kwa kasi zaidi na kwa ari zaidi, siku si nyingi watu watasahau hbr za mgomo wa madaktari km walivyosahau kupanda kwa bei ya umeme. kama si leo kesho, ni swala la kusubiri tu.
bila JF kwa siku maisha yanakuwa bored.
 

Wadau wakubwa wa Elimu ni Waalimu,sasa embu tafakari support kutoka serikalini kwa hawa waalimu! Wengine wanadai pesa zao za mwaka mzima ambazo hawakulipwa lakini wanazungushwa,we unategemea wataiondoaje hii aibu? Pia,shule zetu nyingi hazina maabara na maktaba,hawa wanafunzi watasomaje na kufaulu vizuri? Tafakari,chukua hatua.
 
yamadaktari hatuwezi kusahau mpaka lishughulikiwe hv unajua ni kifo hicho eeh, unazungumzia uzima au uhai.
 
waaalimu mbona wamegoma kama waka wa tano sasa hivi?
 
yamadaktari hatuwezi kusahau mpaka lishughulikiwe hv unajua ni kifo hicho eeh, unazungumzia uzima au uhai.

vifo vingapi tunasahaulishwa kwa matukio mbalimbali?? Northmara, arusha, samunge, nungwi,ripoti imetoka, more than 2000 people confirmed dead, na wadanganyika tupo tupo tuuu,, hatuna hili wala lile????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…