Tujikumbushe majina kesi zilizovutia enzi hizo

Boid

Member
Joined
Jun 23, 2016
Posts
40
Reaction score
62
Kuna kesi nyingi maarufu ambazo pamoja na kuwa na majina unique uwa zinatia hamasa na burudani sana katika kuzisoma Mfano kuna kesi kama Dpp vs Shaw, cabolic smoke ball, Suzan Kakubukubu vs Mwanza municipal counsil, Kukutia Ole Pumbuni vs Kijiji cha Ujamaa Mutala.


Wewe zipi zilikuvutia zaidi? Matusi hayaruhusiwi
 
kesi ya mauaji ya mazegenuka mwanza miaka ya themanini,kesi ya ubakaji iliyomkabili fundi cherehani Maumba
 
Mi nilijua unaanza kuchambua mojawapo ili tupate raha ya story kumbe ni hv tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…